WEMA SEPETU anahojiwa XXL CLOUDS FM now

hakuna aliye msafi neither me nor you,my point is 2sipende kujudge wa2 its too much!

If u know that then why dont u talk to Wema ukampa ushauri kuliko kupoteza muda wako kwa watu ka ma sisi tunaokuona kama punguani tu hapa!
 
hakuna aliye msafi neither me nor you,my point is 2sipende kujudge wa2 its too much!

If u know that then why dont u talk to Wema ukampa ushauri kuliko kupoteza muda wako kwa watu ka ma sisi tunaokuona kama punguani tu hapa!
 

Nafwaaaaaaa unaniua jamani hahahahaaa huyu mama naona ameingia kichwa kichwa hapa subiri
 
Nafwaaaaaaa unaniua jamani hahahahaaa huyu mama naona ameingia kichwa kichwa hapa subiri

Heheheeee si uliona ile kwapa ya muke ya muzungu? Ile inaonekana wembe haikupita kwa siku kadhaa pale....au we wasemaje?
 
Kuna wakati Wema sijui alifanya timbwili gani tu hadi kulazwa rumande au sijui gerezani...

Alipotoka nywele zilikuwa timtim kama kichaa vile. Yaani huyu dada bana....
 
kumbe amnapenda radio ccm! what is that wema and music?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…