Wema Sepetu anamdanganya nani!? Huu siyo Ulimbukeni?

Wema Sepetu anamdanganya nani!? Huu siyo Ulimbukeni?

Sanaa si Tz tu hata wanaigeria wenyewe waloanza tangu zama hizo hawana pesa kihiivyoo. Wengi ni wenzangu na mie wanawake wengine wanajiuza tu. Ni wa kawaida sana. Kuna mdada actress nikuwa namzimikia wa kinigeria alikuwa na rasta hivi mdogo mdogo. Ameolewa mwaka jana na harusi yake ilikuwa ni ya kufunika kwa mwaka huo. Mume alomuoa ni mtoto wa billionaire mmoja Chief. Baba mkwe nasikia alimpa sharti kuwa kama anataka kuolewa na mtoto wake acting iwe mwisho.

Sasa watu wamekuwa wana comment kuwa sio fair; lakini wengi wamefurahi wakisema kama mtu ana act apate pesa; pesa yenyewe kiasi ya mboga; kwa nini aendelee ku act wakati anaweza pata chochote anachotaka???


Hawa kina Wema wangekuwa na nidhamu, sanaa iwasaidie kupata wanaume wenye pesa na walotulia waje wawalee. Ila kwa tabia zao hizi sidhani kama watoto wa ma billionnaire wanaweza kuingia King zaidi ya kuwachezea.

Ukiona wale wanawake wanatoboa matundu kibao masikioni na kuyashehezeza kwa ma gold na mikufu kibao na mapete kibao!. Ujue kisaikolojia huyu ni masikini wa roho na ananyanyasika na umasikini wake ili kijithaminisha mbele ya jamii, ndio anavaa hayo magold ili kujionyesha thats how one is worth!.

Niliangalia ile program, ni kweli kumiliki nyumba na vitu vizuri ni jambo jema, ila wote wenye jicho la pychoanalysis waligudua she is wounded psychological hivyo anafanya show off ili kujifariji!.

Sanaa ya uigizaji bongo tunaijua, top super star alikuwa Kanumba!, anachofanya dada yetu ni kuutangazia umma kuwa the topstar mwenye mafanikio makubwa zaidi kuliko wote ni yeye and she is worth 500 milions overnight!.

Kwa vile aliwahi kutukanwa kuwa hana kwake kila siku ni kuhamia kwa hivyo vijivulana vyake anavyovibadilisha kama nguo!, sasa ametulia ana kwake na kwa kule kwa mama yake amenunua new bedroom furniture na kitanda kimpya ambapo kesho mama yake atakionyesha na kueleza ndicho alichokuwa analalia tangu akiwa mdogo!.

Mimi binafsi japo sio mpenzi wa bongo movies, namkubali hiyu binti she used to be genuine, humble and down to earth kabla masifa hayampasua sasa she is overdoing things!.

Anahitaji msaada wa ushauri wa kisaikolojia!.
 
Hawa kina Wema wangekuwa na nidhamu, sanaa iwasaidie kupata wanaume wenye pesa na walotulia waje wawalee. Ila kwa tabia zao hizi sidhani kama watoto wa ma billionnaire wanaweza kuingia King zaidi ya kuwachezea.
Kuna mmoja anaitwa Zamaradi yeye alimpata mtoto wa Billionaire Jakaya Kikwete, akaishia kuzalishwa tu kitoto basi na yeye amekalia umbeya tu ndio anayewapoteza hawa kina Wema Sepetu. Ujinga mtupu Fanculo.
 
Wasanii wa movie za kibongo Ni Machangu ambao wapo kifedha Zaidi.. Huyo mmoja Kabadilisha Hadi Dini Kisa Fedha. Shame on her.
 
Kuna mmoja anaitwa Zamaradi yeye alimpata mtoto wa Billionaire Jakaya Kikwete, akaishia kuzalishwa tu kitoto basi na yeye amekalia umbeya tu ndio anayewapoteza hawa kina Wema Sepetu. Ujinga mtupu Fanculo.
Du! hii kali!
 
Jackline Wolper amezidi kujichoresha, kaenda kutoa makadi ya gari feki eti BMW X6 Year of manufacture ni 1999, does it make sense kweli? angalia hapo chini.



_MG_7816.JPG_MG_7824.JPG
 
Nitakuwa mpumbav, nikifanya hvy kwa ajili ya unafiki wako wako wa kuikataa Clouds hp JF af moyoni unaikubali....
Tena nyumbani kwangu kwenye king'amuzi changu hiyo Clouds tv ndio nimeiblock kabisaaa iko scrambled. sisikilizi Clouds mimi. Over
 
Back
Top Bottom