mwamgogwaferdinand
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 697
- 938
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda instagram utaona anauzaHizo nguo unasema wewe, usikute ni danganya toto tu.
kuweni na huruma wanaume, Mungu anawaona
Nenda instagram utaona anauza
HeheVitu vya Wema havieleweki, sihitaji kuviona
Mama weee
Aende kwa Harmorapa naye katangaza juzi kati anatafuta mke.
Ina maana wa Kisarawe kamzidi karata??
au hafai huyu kuwa nyumba ndogo ya naniliu??
si wote waliwahi kutwaa mataji ya umisi??
Mi nasema uzuri au sexy body ni kama laana.
Kila mtu atataka akuonje asonge mbele hakuna atakayeona zaidi ya uzuri au sexy body.
Nicheck pm tuyajengembona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!
we acha kutudanganya bwana!
MirrowHiyo ni chakula ya watu wafuatao;
1.Mr.Blue
2.T.I.D
3.Handsome wa Msoga
4.Charles Baba
5.Mond wa Tandale
6.Hussein Jumbe
7.Kanumba
8.Young Dee
9.Q Chillah
10.The list goes on...
Sent using Jamii Forums mobile app
Du kujenga nini tena?Nicheck pm tuyajenge
Aje?Mirrow