Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #201
lkn si wewe umeandika jamaa hao wengine hawajaondikaDuuh sikaagi na vitu vya hivyo. Ulizia wambea wengine watakwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lkn si wewe umeandika jamaa hao wengine hawajaondikaDuuh sikaagi na vitu vya hivyo. Ulizia wambea wengine watakwambia
yani wewe bwana!Mnaita “uzungu” ku justify some craps.
Swali lko nimekujibu na swali, je wewe unaweza kunyonyana nyonyana ndimi ovyo na kila mtu kama anavyofabya wema halafu useme ni kawaida? Ukinipa jibu then utakuwa umejibu kwa utashi wako swali ulilonielekezea.
Labda tuweke rekodi vizuri Wema alishaolewaga na Bw. Jumbe miaka ya nyuma sina uhakika kama ile ndoa ilishavunjwasio kweli jamaa
Mbona Zari kaolewa?
Namwona Dadako Insta anavyombutua Wema"Wema ni NYUMBU" - Mange Kimambi.
Jumbe yupi jamaa?Labda tuweke rekodi vizuri Wema alishaolewaga na Bw. Jumbe miaka ya nyuma sina uhakika kama ile ndoa ilishavunjwa
Jamaan pole yakeJumbe Yusuph. Sembe imempukutisha hatamaniki
ukisikia hamu ya ukoko njoo kwake!Utakulaje Ukoko wakati bado Ugali upo
Ningeweza kula nisife njaa/kupiga selfie-punyere. Tatizo hela ya kuhonga milioni sinaUtakulaje Ukoko wakati bado Ugali upo
pole sanaNingeweza kula nisife njaa/kupiga selfie-punyere. Tatizo hela ya kuhonga milioni sina
AMINMola ampe hitaji la Moyo wake
Inshallah. Ila jamaa hatafaidi sanaAMIN
hahahhahaInshallah. Ila jamaa hatafaidi sana
Utamu woote ushadukuliwa na madangahahahhaha
hatareeUtamu woote ushadukuliwa na madanga