Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #161
SauwaVya kwetu havipendeki wala kulika,tutaenda huko huko nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SauwaVya kwetu havipendeki wala kulika,tutaenda huko huko nje
JomooonHuyu lazima ile kanuni ya shake well before use itumike, la sivyo inaweza kuwa 0-0.
AMENMungu amjalie haja ya moyo wake!
Ila bado hujajibu swali languHata mzungu hatoi toi tongue kiss ovyo ovyo unless they mean to sleep na wahusika, we unaeza kulambana lambana vile na yeyote tu hata kama hulali nae?
thats nasty asf! Ingekuwa kawaida isingekuwa defined kwa jicho tofauti, mbona smooch haina tatizo,
Ivo ee?!Wema ni mmoja ya wanawake walioutumia vibaya sana ujana wao
Ndio maana nawaambia wamuwowe wema yeye ana experience ya kutoshaUkitafuta dereva mzuri wa gari lako chagua dereva mwenye CV nzuri/kubwa na awe mzoefu aliyebobea, alieendesha magari aina tofauti tofauti, gari kubwa na ndogo, aliyeendesha inchi nyingi duniani na hata ujuzi wa ufundi wa gari awe nao ili msilale njaa au porini
Dondoka sa kwa Wema kakaNi nzuri kwa matumizi.Hazijatumika saaana
YeleuuuwiAtapata tuu kwenye early 40's
kwisha habari yakeIvo ee?!
Ila hajamaliza ujana ametimiza miaka 30 juzi kati
Me bad nauliza huyu Jumbe ni yup? ! Mbona sijibiwikwisha habari yake
kama ameshindwa kutimia nafasi wakati ana miaka 22,hawezi tena kwa sasa fursa zimepita
Jumbe
kanumba
Diamond
Idriss
Yule muuza kiume
mwami
Muhasibu wa ndege za serikali mpaka kafungwa kwa kuiba amuhonge
Mpaka sasa wema hana hata kiwanja cha skwata,anadhani kila siku maisha yatakua yale yale
Alichezea muda huo angekua na katoto kakubwa tuu na kanumbaYeleuuuwi
Maneno yako yashindwe kwa Damu ya Yesu
atazaa saa ngap alee saa ngap
awwww! nimekupenda bureMi
Mimi nampenda Wema jamani. Unconditionally. Ila du sijui kama akiniona ata reciprocate!!! She is yammy and taste.
Kama hana mchumba bado mi sitajali 'katembea' na nani au wangapi!! I love her face, shape, her smile plus she is also relatively educated and indeed sexy.
Wema hata jina lako tu zuri.
I adore you Wema. I don't care what they say about you. Let them say.
Idris hana fyucha namwona anachekacheka tu huko youtube kwani anashida gan yule mtoto?IDD RIS hataki tena? angemcheki huenda akarudisha majeshi.
SI WEWE KAKAKE MAMBA!
NDOROOOBOEE KANUMBA TENA?Alichezea muda huo angekua na katoto kakubwa tuu na kanumba
HAHAHAHANjoo kwangu Wema