Wema Sepetu anatafuta mwanaume wa kumuoa

Wema Sepetu anatafuta mwanaume wa kumuoa

ivo ee?
mbona hamumuulizagi instagram source yake of income?

Mapicha picha anayo leak ya kunyonyana ndimi na wanaume yaonekana ndo main source, madanga rtc, kama si kupea presha kwa muoaji afe mapema ni nini, atulie tu azeeke mwenyewe kishaharibu X
 
Mapicha picha anayo leak ya kunyonyana ndimi na wanaume yaonekana ndo main source, madanga rtc, kama si kupea presha kwa muoaji afe mapema ni nini, atulie tu azeeke mwenyewe kishaharibu X
kwani Tongue kiss ndio ku-have chekchi jamani?
woi kumbe watz mindset bado ee?

kwahiyo wewe kila mwanaume unaemnyonya ndimi unalala nae?
 
HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU

JAMANI MDOGOETU AMEFUNGUKA KUW AANATAFUTA MWANAUME WA KUMUOA

VIJANA MPOOO
SIO MNASEMA HAMNA WANAWAKE HAMNA WANAWAKE, EE

WEMA ANA HELA ZAKE, ANA MAISHA YAKE ANA BIASHARA ZAKE KWANI TSH NGAPI?

OENI TU!


Tatizo mama yake
 
NOT ANYMORE
IDRISSA KATUPWA CHINI MBAYAA YUPO ANACHEKA CHEKA TU YOUTUBE NI SHEEDAH!
Si ndio namaanisha kwa kuwa walisha pika na kupakua pamoja, basi ana mengi anayajua.
 
kwani Tongue kiss ndio ku-have chekchi jamani?
woi kumbe watz mindset bado ee?

kwahiyo wewe kila mwanaume unaemnyonya ndimi unalala nae?

Hata mzungu hatoi toi tongue kiss ovyo ovyo unless they mean to sleep na wahusika, we unaeza kulambana lambana vile na yeyote tu hata kama hulali nae?
thats nasty asf! Ingekuwa kawaida isingekuwa defined kwa jicho tofauti, mbona smooch haina tatizo,
 
Labda nami nionjeshwe kwanza kama karanga, kununua hiari

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitafuta dereva mzuri wa gari lako chagua dereva mwenye CV nzuri/kubwa na awe mzoefu aliyebobea, alieendesha magari aina tofauti tofauti, gari kubwa na ndogo, aliyeendesha inchi nyingi duniani na hata ujuzi wa ufundi wa gari awe nao ili msilale njaa au porini
 
Ukitafuta dereva mzuri wa gari lako chagua dereva mwenye CV nzuri/kubwa na awe mzoefu aliyebobea, alieendesha magari aina tofauti tofauti, gari kubwa na ndogo, aliyeendesha inchi nyingi duniani na hata ujuzi wa ufundi wa gari awe nao ili msilale njaa au porini
Nimekuelewa mkuu[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom