Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

mlikua hammjui magufuri mliekesha mnampigia kampeni hayo yote kayaleta yeye acha muisome namba nyie makada kwanza halafu bado Dodoma pwani na kanda ya ziwa bomoa bomoa inakuja kwa jina la rudisha watu kupanga
 
Looh jamani, sasa lile range lake atapaki wap? Watu wanapenda umaarufu mjini halafu hawana pa kukaa mxieewe na bado


Kwani lake, subiri mwenye mali atalichukua akapaki kwake...
 
ghafla visent sina nimerud TANDALEEEEEEE!
Nimeshindwa kulipa bima wameuza madaleeee!
radio mziki wamezima,TV ndio hatareeeee!


Mondy Huu wimbo alimuimbia wema tenaaa?staki kuamini!
 
Watu walikua wamejisahau wakizan magufur baba yao. Kumbe ni tinga tinga kitu kinacho kuwa mbele ndo cha kubomoa
 
weeemaaaaaaaaaaa sasa amebadilika amekuwa ubayaaaaaaaaaaasaaaaaaaaaa.mnasema aende kijijini kijiji gan wema ataendaa? kwanza baba yake ni mmalawi huku aliletwa na akina ali karume.mnamsifu diamond sasa baadae Naye mtamponda,mmekuwa sadists kwanini? hivi ni nan aliyewarogaaaaaaaaa?
 
Mkuu lakini maisha Mungu si ndie anapanga ??? Halafu tunaweza mlaumu Wema kumbe uki trace back generation moja ya kwao kuna mtu alifanya kitu kisicho sawa sasa ndio hivyo watoto wanavuna madhambi na nuksi za walio watangulia
Mkuu Pasco hivi haya majanga ya wema yanahusiana na karma???
 
Last edited by a moderator:
weeemaaaaaaaaaaa sasa amebadilika amekuwa ubayaaaaaaaaaaasaaaaaaaaaa.mnasema aende kijijini kijiji gan wema ataendaa? kwanza baba yake ni mmalawi huku aliletwa na akina ali karume.mnamsifu diamond sasa baadae Naye mtamponda,mmekuwa sadists kwanini? hivi ni nan aliyewarogaaaaaaaaa?

Pole sana, hayo ni mapito tu
 
Back
Top Bottom