Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Mkuu Mungu hajampangia mtu mbaya.. U shape your own life..

Huyu binti kachezea sana maisha, ebu angalia maisha ya Miss Tanzania wenzake Kama Jack Mengi, Faraja Nyalandu, Nancy Sumari, yule mtoto wa Sinare, hata sasahivi ukiangalia ya huyu Brigete unaona ana promising future kuliko huyu Wema...

Wema mashabiki ndio wanamponza, hii ya kumwambia ana NYOTA KALI sijuagi maana yake nini, sasa na yeye kashacrem ananyota, matokeo yake hafanyi kazi anasubiri nyota imfanyie kazi kimuujiza, akisema hii nyumba yangu iwe yake kweli, range langu liwe lake kweli, sasa ona kafukuzwa kwenye nyumba ya bei nafuu iliyomshinda kugharamia kahamia ya 1M per month, na wambea wasingemuwahi waandishi wa habari wangeitwa kuchukua pivha turushiwe kwenye tv tuambiwe ni ya kwake kanunua
 
Wema mashabiki ndio wanamponza, hii ya kumwambia ana NYOTA KALI sijuagi maana yake nini, sasa na yeye kashacrem ananyota, matokeo yake hafanyi kazi anasubiri nyota imfanyie kazi kimuujiza, akisema hii nyumba yangu iwe yake kweli, range langu liwe lake kweli, sasa ona kafukuzwa kwenye nyumba ya bei nafuu iliyomshinda kugharamia kahamia ya 1M per month, na wambea wasingemuwahi waandishi wa habari wangeitwa kuchukua pivha turushiwe kwenye tv tuambiwe ni ya kwake kanunua

Sasa si ahamie kwa huyo Idris.. Mi nashangaa sijui huyu wema watu wanampendeaga nini..
 
Wqtakuambia hanaga matatizo na mtu ana roho ya kipekee, how??????? Mimi nina sababu z kutokumpenda huyu dada aisee, tena nyingi tu

Sasa kama ana roho ya kipekee kwanini anakimbiwa na marafiki kila siku, ina maana wooote marafiki wana matatizo
 
Eti mil 280 ,nyokoooooo mamamayo, rahis kuitamka eeh?? Kwa k gani uliyokua nayo hapa mjini? Rudi tu sinza uswahilin kwenu, maana ndo panakufaa

Mkuu, huyu mdada si ana vitega uchumi vya billion 7?
 
Jamani napangisha nyumba aje tu ila nita mlipia maji na umeme ili asintangaze kwa wizi wa nishati hizo... Meneja njoo pm///
 
Ndo maana nampendaga lulu mtoto mdogo ila akili nyingi, kila mtu ana mapungufu ila lulu ana akili sana, amejenga na mama ake amemjengea ana maduka ila hana show off kama za mbunge sepetu

Na huwez kumkuta lulu anamuanika hovyo mwanaume wake, yan kale katoto kana akili sana kumzidi mama ubaya, nadhan ni kwa sababu katokea kwenye familia ya kawaida so anajielewa kumzid mama ubaya anayejifanya mtoto wa obama kumbe ushuzi
 
Na huwez kumkuta lulu anamuanika hovyo mwanaume wake, yan kale katoto kana akili sana kumzidi mama ubaya, nadhan ni kwa sababu katokea kwenye familia ya kawaida so anajielewa kumzid mama ubaya anayejifanya mtoto wa obama kumbe ushuzi

Ila pia kwakua wanakuaga wame za watu ndo maana hatangazi, ila all in all Lulu ana akili.....
Af Nimekupm mbona hujibu
 
Sasa kama ana roho ya kipekee kwanini anakimbiwa na marafiki kila siku, ina maana wooote marafiki wana matatizo

Kuna Uzi mmoja ulifunguliwa kitambo kidogo kwa ajili ya kumshauri ila watu humu wakapooonda weeeeeee et tz sweetheart or nobody like her,best miss tz ever,mumuache Mara timeless beauty........
Hapo nikakumbuka msemo wa Nancy sumari "sijushughulish na mambo ya urembo sana kwa kuwa urembo una mwisho wake"... Nancy na mamiss wengi walijua kuwa kila zama na nabii wake....ila wema akajiachia tu kwa kuwa nyota yake haiishi ukali na team wema wakamjaza upepo as if yeye ndo wa kwanza kuvuma tz...tayari kachelewa ingawa sio sana so,anaeza badilika akiacha wenge
 
Ha ha ha dah yani nlivosoma hapo nlicheka, hiyo pikipiki ya mwendo kasi sijui ikoje, kuwa mwandishi wa udaku inabidi uwe na maneno sana

Mwenzangu raha ya umbea uongeze chumvi kidogo, hyo piki piki ya kwenda kasi sijui ndo kazileta magufuli, hawa akina imelda na mnaly nimewashindwa kwa umbea aseeh
 
Mkuu, huyu mdada si ana vitega uchumi vya billion 7?

Jana kuna clip nimeona fb anasema gauni Lake ni la gharama ya dola 1500 in her voice😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nonsense

halafu kwa mbele wakaingilia na ka clip ka remmy ongala
 
Back
Top Bottom