Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Oooh ghafla visenti sina nimerudi tandale,
Nimeshindwa kulipa bili, nimeuza madale.....

Aaaah je UTANIPENDAga..?

Wema bado tunakupenda tu usiogope wala nin...



Ah kumbe?
Jamaa aeza kuwa ana tupia mawe lol

Dah Kidingi umeniamsha bongo...

Agaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Aaaahaaaa le mutuz ka post alipoamia le madam naona aliamua kuwatia presha kidogo
 
Hmm..

Kwanini kutimuliwa kwenye nyumba kuwe sasa hivi baada ya Tanesco kumwumbua.

Hii ni njia ya kukimbia kesi au faini ya Tanesco.
 
wema(22)ana nyota sana,mama samia atama gorofa kabis,kwani mmesahau alikuwa kampeni meneja wke?
 
Lakini si ana kampuni ya vipodozi..... Au nayo magumashi. Sijui wanaigiza maisha hivyo kumrusha roho nani...

Labda hazilipi zilikuwa zinauzwa elf 40 sahivi zimeshuka ni elf 20 huenda zikashuka hadi elf 2,supportes wake ni hivi vikurumbembe vilivomaliza form four havina kazi vinanunuliwa bando ba boyfriends vinashinda instagram kutukana, saa ngapi vitanunua lipstick elf 40 au 20 wakati zipo za jero jero zimemwagwa chini teh
 
Ishu ya makontena imeondoka na itaondoka na wengi.

Watahama tu mjini., bado wengine, mnawajua.

Na akipiga kufuli huko kwenye sembe ndio kabisaaaaaaa watu hata kijijini patawashinda.
 
Sina chuki na wema lakini najiuliza tu...hivi kweli uweze kupanga nyumba ya mil 200 usiwe hata na kibanda cha mil 10 ulichojenga. Mil 200 kwangu napata kiwanja na ninasimamisha mjengo wa maana ndani ya mwezi mmoja. Au nanunua nyumba kabisa.
 
Haha mkuu muoneeni huruma,kuzaa hazai,hana bahati ya kukaa na mwanaume,Tanesco nao wako nyuma yake ,Mara sijui Dawasco haya leo katimuliwa ,jamani vyote hivyo anavibeba ,anaweza akawa kichaa walahi

tatizo Lake ni kujifanya a amazing... akinunua hata chupi lazima a Atangaze kwenye media...na Media hiyohiyo inamgeuziaga Kibao...
hana kazi hana mtoto hana mwanaume yaani ni muse. nge

bogazi
na
inaelekea k yake mbovumbovu Maana Majamaa wanahonga na wakigonga wanasepa Hakuna kitu
 
tatizo Lake ni kujifanya a amazing... akinunua hata chupi lazima a Atangaze kwenye media...na Media hiyohiyo inamgeuziaga Kibao...
hana kazi hana mtoto hana mwanaume yaani ni muse. nge

bogazi
na
inaelekea k yake mbovumbovu Maana Majamaa wanahonga na wakigonga wanasepa Hakuna kitu

Dah bi Msofe msamehe bure ,
 
Duuh' c alimwita zamaradi aje kuiona nyumba aliyonunua! Kumbe amepanga! Daah kwel ustar hauji bila skendo
 
Wema Sepetu kafungwa anaitaji maombi tu maana Damu Ya Yesu inauweza wa kufungua kila kilichofungwa ktk ulimwengu wa roho
 
Haha mkuu muoneeni huruma,kuzaa hazai,hana bahati ya kukaa na mwanaume,Tanesco nao wako nyuma yake ,Mara sijui Dawasco haya leo katimuliwa ,jamani vyote hivyo anavibeba ,anaweza akawa kichaa walahi

Kipindi cha my shoes kimekosa wadhamini, range aliyemuazima siku ya birthday, kaichua usiku ule ule, kweli kaufunga mwaka vibaya
 
Back
Top Bottom