Wema Sepetu apata dili nono baada ya filamu ya Heaven Sent kumpatia tuzo

Wema Sepetu apata dili nono baada ya filamu ya Heaven Sent kumpatia tuzo

Eti Riyama analia clouds kwamba Sinema Zetu imemdharilisha.Wamuombe radhi kaharibiwa image yake.Alikuwa hajui chochote kile japo alialikwa kwenye sherehe
 
USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na vyombo vya habari.

Kuna mengi mazito anataka ayaweke wazi. Channel ya Sinema Zetu ndani ya Azam TV itakuletea mkutano huu LIVE.



[HASHTAG]#SinemaZetu[/HASHTAG] [HASHTAG]#HakikaNiZaKwetu[/HASHTAG] [HASHTAG]#AzamTVApp[/HASHTAG] [HASHTAG]#AzamTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#SZIFF2018[/HASHTAG]


Eti tunzo za kimataifa, kua na adabu mshkaj upo nawatuwazima hapa.
 
Mkuu uwe una taarifa kamili kabla ya kuandika tuhuma. Wema alimpigia kampeni Magufuli na alihamia CHADEMA Magufuli akiwa raisi
Hahahaaaa!!! Ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu lasivyo unaumbuka kama huyu jamaaa
 
USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na vyombo vya habari.

Kuna mengi mazito anataka ayaweke wazi. Channel ya Sinema Zetu ndani ya Azam TV itakuletea mkutano huu LIVE.




macho ya Jini
 
USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na vyombo vya habari.

Kuna mengi mazito anataka ayaweke wazi. Channel ya Sinema Zetu ndani ya Azam TV itakuletea mkutano huu LIVE.




macho ya Jini
 
Next, utasikia Hamisa Mobeto pia anaita waandishi wa habari.

Then atafuatia ebitoke na wapuuzi wengine.

As if watanzania tumekua watu wa kusikiliza vitu vya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo hovyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Press conference ya wema kuhusu heaven sent na jins ilivyokuwa mpaka anafanikiwa kupata tuzo..
Nilichoona ni kwamba wanajiosha kutokana na maneno meng ya watu baada ya kupokea tuzo
Lakn bidada amesema movie imestahil..

Watu wameuliza wema alisema hatotoa dvds mpaka hela yake ya uandaaji irud..namely mil 35.

Wema kasema pesa imerud na imezid.. na istoshe kapata deal na agusta company ya kusambaza movie yake kwa mfumo wa dvds..

Ila sasa nilichojifunza ni kwamba we still have a long way to GO.. wasanii wanashindwa kutumia fursa ambazo zipo.. na platfoms ambazo znatumika kwa wao kujitangaza..

Wasanii wana mazoea na umaarufu wao.. hawawaz kupiga hela wanachowaza tu ni media attention..
Nakumbuka juz juz nilipost kuhusu WEMA SEPETU KUHUSU KUSHINDA ZILE TUZO MBILI.. but watu especially wema lovers mapov yakawatoka...

Ni kwamba kiukweli tukiangalia improvent katika sekta ya movies bado kabisa..

Bado tuna story za kizamani sijui mamaako anakuloga ili uachike kwenye ndoa, au mke anakuroga mume usitoke nje ya ndoa..kuangushana kwenye makoch, jambaz limevaa koti refu na miwan nyeusi, mzee magar na msaut wake uleule kila movie.. au jengua ye mkali kila movie.. heeeeeeh jini linapiga simu, au jini limepanda bus, nk

By the way story hiz almost kila movie za kiswahil kama sio za africa vimejaa mambo haya ya uganga uganga.. kutesana..umbea umbea nk.

Point yangu ni kwamba watu wanaoandaa hiz movie wasome vitabu sana na waangalie sana movies za watu hii itasaidia kuleta ideas mpya..

Watu weng hatupend kuangalia bongo movies kwa sabab ya story zake na wasanii wenyewe wanavyoigiza kwa mazoea hawajui kuvaa uhusila..
Hawatak kukosolewa...

Na ndio maana kuna kipnd walikurupuka kuandamana kupinga sinema za kikorea na zngne..

Watu wanaona hakuna jipya bongo movie kwasabab movies znataka pesa.. investment ya hali ya juu.. production za ukweli, directors ambao wameenda shule..
Directors ambao akisema hapa rudia unarudia..
Watu wanafanya movie zaid ya mwaka unaona kila kitu kimeguswa.. wahusika wamezoea na wanaigza kama maisha yao..

Bongo movies waache umimi.. waache mazoea..
Kina wema sepetu mashabik wao wanaowapigia kura bila kuangalia ubora wa kaz ni kwamba wanawalaza wasaanii wao..
Msanii atajiona bora kila siku kwasabab ana jopo la watu nyuma yake ambao kupiga kura 100 kwa siku hawaoni tabu..
Tupongeze pale mtu akifanya vizur na si kubebwa na watu wenye mapenz ambao hata kitu kibaya wenyewe wanapiga kura.

Hard work pays... no pain no gain..
Ebana daaah!!! Super fine analysis
 
Eti Riyama analia clouds kwamba Sinema Zetu imemdharilisha.Wamuombe radhi kaharibiwa image yake.Alikuwa hajui chochote kile japo alialikwa kwenye sherehe
Clouds nao wanahangaika kutafuta watu kuponda na kulalamika tuzo ili washushe hadhi ya tuzo. Huyo Rihama naye hajui kama anatumika tu kwa manufaa ya hiyo kampuni.

Clouds zama zao zinaelekea ukingoni, lazima wa strategize upya. Watatakiwa kutumia nguvu kubwa mno kupambana na Azam, na pia kushindana na wasafi media. Clouds wanatakiwa kujua mpambano kati yao na Azam si sawa na EFM. Azam wana nguvu ya pesa. Clouds ili wapate pesa ni mpaka wawaminye wasanii.

By the way, inawezekana Wema hafai, na pia azam waliwatumia Dee na Misa kunogesha tuzo. lakini ukweli ni kwamba uwepo wa Wema as X wa Dee at the same time, na lile tukio la Baba na Mama Dylan kutangaza tuzo lilileta msisimuko wa pekee kuliko tuzo zenyewe. Nimewapenda Azam kwa kuingia kwenye competition ambayo clouds ilionekana ku-lead.
 
Kwa kweli watanzania inabidi tufike mahali tujitafakari na kujitambua, sielewi kwanini tunashabikia sana ujinga tena wa ngumbalu. Utaona mtu mzima na akili timamu anashabikia upuuzi na kusahau shughuli zake za msingi, usikute hapa kuna watu wazima (wanaume wa Dar) wataacha kazi zao na kuwahi kufungua TV kumsikiliza Wema. The girl hana kitu kichwani na it is true anapendelewa kwa kupata ile tuzo bcs Wema is NOT a really actress kwa sababu hata ku-act hajuwi. Yeye (Wema) aliingizwa kwenye uchezaji sinema as project ya Kanumba (Mwanamke wa location, same gear aliyopewa Lulu) ili achezewe (gegedwa) na madhara yake ndo haya, she can't act at all. Anafikiri kuonekana kwenye screen ndiyo ku-act. Azam wanapoteza muda kumrusha Mama vituko live, not worthy it.
unataka watu wasimuongelee na kumtizama lakini wewe unamuongelea hapa utakavyo.hivi ni nani aliyekuroga
 
Back
Top Bottom