Huwa naipenda sana JF! Maana kuna siku nilieleza uzoefu wa maisha, ukaniona divyo sivyo. Kumbe ulikuwa na haki ya kufanya hivyo maana wenzako mwaka huo tulikuwa na vijana ambao kama hatukusingiziwa, ni wetu wa kuwazaa, walikuwa na miaka 19. Hongera sana!Nilikua darasa la 6 pia