Wema Sepetu auchukia uongozi wa awamu ya tano.

Wema Sepetu auchukia uongozi wa awamu ya tano.

Sio kwamba wangemfungulia mashitaka badala ya wao kutoa hukumu?
Labda aligoma kuchukuliwa ili taratibu za kumfikisha kwenye mkono wa sheria zifuatwe wakaona wamlainishe kidogo ili akubali kwenda.
 
Unachoshabikia sikioni,kumbuka haya mambo ni kupokezana tu nani alijua kama Adam Malima atadindishiwa na yule kijana polisi kiasi cha kufyatuliwa risasi?! Hivyo si vyema kuweka ushabiki Mbele kama kweli kijana alikosea kwa kukiuka taratibu za kimahakama basi polisi wao sio mahakimu mpaka wamuhukumu kwa kichapo wangemfungulia mashtaka,Leo kwako kesho ni kwetu Mimi na wewe kumbuka hatujakamilika kiasi cha sisi na ndugu ZETU kuto kufanya makosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kichapo ni sehemu ya kazi katika jeshi la polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ndugu yake ni nani?aweke na picha basi vinginevyo ni kutafuta kiki tu
 
Hujui kwa sab hujawahi kupitia polisi. Unadhani wanakaa na bunduki km fenicha? Wanafanya mazoezi mbali mbali kwa ajili ya kulia ugali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sheria inayompa mamlaka polisi kumshambulia mkosaji,tatizo unachukulia kimazoea sana zile silaha si kwa ajili ya kuelekeza maangamizi kwa kila tukio ila ni kwa ajili ya kulinda usalama na zitatumika pale tu hali ya usalama itakapotishia au kutoweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna sheria inayompa mamlaka polisi kumshambulia mkosaji,tatizo unachukulia kimazoea sana zile silaha si kwa ajili ya kuelekeza maangamizi kwa kila tukio ila ni kwa ajili ya kulinda usalama na zitatumika pale tu hali ya usalama itakapotishia au kutoweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Askari anaruhusiwa kutumia nguvu kiasi chochote kinachofaa ikiwemo risasi. Huwezi kumpangia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
24c0fd6186f0ef3bd9b8ca3d8cd5d151.jpg

eb81d1be5847cf1b094269fbfd313e95.jpg
 
Mbona wengine hawakupigwa apigwe yeye tu? Lazima mjifunze kutii jeshi la polisi la sivyo ata wewe utakula kipondo cha mbwa mwizi na huo mdomo wako mrefu unaotuletea. Mnaleta umjini kwa mapoti wakati washapewa rungu.
Ni idara ya polisi sio jeshi la polisi. Halafu sema watu watii sheria sio polisi, au hujui polisi ni raia wenzako wanaotakiwa kutii sheria za nchi?
 
Ndio maana askari wakidundwa huko kibiti raia wanashangilia kwa ajili ya mambo Kama haya ya unyanyasaji!
 
Back
Top Bottom