Wema Sepetu awa kama Kanumba

Wema Sepetu awa kama Kanumba

WeEwEe ni KiMAaaaa PoRii. nikIaMbiwA niChAgue SeheMu yoyOtE ninGekuPelEkA kwa MadiBa ukaFiee huko. Yaani watAnzania ndo mAaana haTueNdelEi badaLa ya kUtoA mawAzo positiVe unAisHia kupRoducE usHuuzi Tu.
NaKubAli ndi o wEma ni MhUni ilA inApokUja kwEnye swalA la Kazi yAke yuKo vizuri so wEka chUki pemBeni na umSapOti kazI za mTanZania mweNzako.
#Kuwa MzAlenDo.

Mh hivi kumbe bado kuna watu hawajui kuandika sasa hiyo ndo nini jaman. Hahahaaaa
 
Ndiyo Tanzania yetu hiyo ya sasa,watu wasio na maadili wala sifa njema kwenye jamii,ndio wanaoongelewa sana,utakuta makahaba na waasherati ndio wanaitwa mastaa

The likes of Shilole n.k ..Leo hawa ndo tulikofika huko na hii ni Nazi ya ibirisi na maagents wake,haiwezekani watu wa hivi katika jamii ndo wanaonekana mastaa,role models,walembo,mifano sahihi ya wanawake n.k ...kama ndivyo basi shetani kashashinda tayari na kinachofuata in gharika,eti shilole anaulizwa maswali muhimu kabisa kuhusu jamii ya Tz then unajiuliza inamaana wamekosa watu wenye kuweza kuuilizwa maswali ya hivi na kuyajibu kwa usahihi kweli? ama ndo akiri zetu zishapumbazwa kwa mapepo yao
 
The likes of Shilole n.k ..Leo hawa ndo tulikofika huko na hii ni Nazi ya ibirisi na maagents wake,haiwezekani watu wa hivi katika jamii ndo wanaonekana mastaa,role models,walembo,mifano sahihi ya wanawake n.k ...kama ndivyo basi shetani kashashinda tayari na kinachofuata in gharika,eti shilole anaulizwa maswali muhimu kabisa kuhusu jamii ya Tz then unajiuliza inamaana wamekosa watu wenye kuweza kuuilizwa maswali ya hivi na kuyajibu kwa usahihi kweli? ama ndo akiri zetu zishapumbazwa kwa mapepo yao

Lakini bado mi naona kila mtu ana ubaya wake labda hawa unaowaona wabaya ni kwa sababu ya Attention ya vyombo vya habari!!na hao unaowaona wazur n kwa sababu sio mastaa ndo maana hujui mabaya yao!!
 
tunamtakia mafanikio mema na movie ndio ishafanika allthe best kwake kama hutaki kajinyonge na pole sana sio lazima uangalie after all hiyo ni project ya van vicker ndiye aliyeamua kumshilikisha wema
 
Suala lililopo ni uigizaji ila watu mnamjudge Wema eti malaya.....like seriously???!
Ebu ulizeni life la Tonto Dikeh, Chika ndo mje mzungumze hapa. Au wale kina Martha Ankomah and the co muone walivyo!

Kazi ni kazi na tabia ya mtu ni kitu kingine watu tuacheni utabiri usokuwa na tija!
 
Tatizo kubwa ni mwili aliougawa kwa watu kibao. Hawezi pata heshima ndani ya nchi. Inabidi atulizane, anatia aibu wazenji.
 
Tatizo movie zake nyingi zinaishia hewani hatuoni zinaingia sokoni wala kuuzwa mtaani
 
kawa kama kanumba inamaana kabadilika jinsia au?
 
Hivi wakosaji wakiwa wengi kosa linafutika...?

Suala lililopo ni uigizaji ila watu mnamjudge Wema eti malaya.....like seriously???!
Ebu ulizeni life la Tonto Dikeh, Chika ndo mje mzungumze hapa. Au wale kina Martha Ankomah and the co muone walivyo!

Kazi ni kazi na tabia ya mtu ni kitu kingine watu tuacheni utabiri usokuwa na tija!
 
Suala lililopo ni uigizaji ila watu mnamjudge Wema eti malaya.....like seriously???!
Ebu ulizeni life la Tonto Dikeh, Chika ndo mje mzungumze hapa. Au wale kina Martha Ankomah and the co muone walivyo!

Kazi ni kazi na tabia ya mtu ni kitu kingine watu tuacheni utabiri usokuwa na tija!

Umeongea point ya maana Kuna watu Wana jiona Wema Sana hafu ni wanawake kunyooshea vidole wenzao mara Malaya sijui nini wakati wao wenyewe wazinzi wengine Wana michepuko hadi wamepata watoto. Mtu akifanya kizuri ni vzuri ku appreciate sasa wanawake kwa kutopendana number moja.
 
Umeongea point ya maana Kuna watu Wana jiona Wema Sana hafu ni wanawake kunyooshea vidole wenzao mara Malaya sijui nini wakati wao wenyewe wazinzi wengine Wana michepuko hadi wamepata watoto. Mtu akifanya kizuri ni vzuri ku appreciate sasa wanawake kwa kutopendana number moja.

Wema malaya lakini mtamu..Juzi nimelivizia pale katalunya matokeo yake babu nditi kaliwahi kaenda kulifokonyoa maugali..mxxxx mizee mingine bwana
 
Wema malaya lakini mtamu..Juzi nimelivizia pale katalunya matokeo yake babu nditi kaliwahi kaenda kulifokonyoa maugali..mxxxx mizee mingine bwana

Dah mkuu ulisha Wai test nini ukaona alivo mu switi ilikuaje sasa hadi akawaiwa na huyo nditi. Mkuu hapo kufokonyoa maugali umenichekesha Sana
 
Back
Top Bottom