Wema Sepetu awa kama Kanumba

Wema Sepetu awa kama Kanumba

Umeongea point ya maana Kuna watu Wana jiona Wema Sana hafu ni wanawake kunyooshea vidole wenzao mara Malaya sijui nini wakati wao wenyewe wazinzi wengine Wana michepuko hadi wamepata watoto. Mtu akifanya kizuri ni vzuri ku appreciate sasa wanawake kwa kutopendana number moja.

Afu sasa hao wanaomtusi Wema ni vile sio ma star maana tabia zao zingejulikana ni balaa haswa....afu kweli ni aibu jitoto la kike lizima badala ya kumsuport mwenzao ndo ya kwanza kumtukana utazani hao ni mabikira wanangoja ndoa....
Kwani ata kama wema ana issue zake ni personal issue za mtu....lakini watu ni blaaa blaaaaa blaaaaaa tuu.
 
Afu sasa hao wanaomtusi Wema ni vile sio ma star maana tabia zao zingejulikana ni balaa haswa....afu kweli ni aibu jitoto la kike lizima badala ya kumsuport mwenzao ndo ya kwanza kumtukana utazani hao ni mabikira wanangoja ndoa....
Kwani ata kama wema ana issue zake ni personal issue za mtu....lakini watu ni blaaa blaaaaa blaaaaaa tuu.

Wamezidi Sana hata kama ni makosa kila mtu anayo ina maana yee Hana jema jamani tumpe support kwa jema afanyalo hakuna asiye na dhambi Dunia hii. Sasa wanawake ndo vinara kupondeana hadi wanaume wanatuushangaa.
 
Umeongea point ya maana Kuna watu Wana jiona Wema Sana hafu ni wanawake kunyooshea vidole wenzao mara Malaya sijui nini wakati wao wenyewe wazinzi wengine Wana michepuko hadi wamepata watoto. Mtu akifanya kizuri ni vzuri ku appreciate sasa wanawake kwa kutopendana number moja.

Labda Wema ana damu ya kunguni. Lol
But sijashawishika kukubali kuwa kama Wema ni malaya basi ndo na kuigiza hawezi labda watoe sababu nyingine manake hao niliowataja hapo wanakitembeza ka nini lakini wanaigiza vizuri na muvi zao zinauza.
 
WeEwEe ni KiMAaaaa PoRii. nikIaMbiwA niChAgue SeheMu yoyOtE ninGekuPelEkA kwa MadiBa ukaFiee huko. Yaani watAnzania ndo mAaana haTueNdelEi badaLa ya kUtoA mawAzo positiVe unAisHia kupRoducE usHuuzi Tu.
NaKubAli ndi o wEma ni MhUni ilA inApokUja kwEnye swalA la Kazi yAke yuKo vizuri so wEka chUki pemBeni na umSapOti kazI za mTanZania mweNzako.
#Kuwa MzAlenDo.

Small pdidy Jr! ! Teh teh teh! Huu uandishi kiboko.
 
Back
Top Bottom