Wema Sepetu awa kama Kanumba


Afu sasa hao wanaomtusi Wema ni vile sio ma star maana tabia zao zingejulikana ni balaa haswa....afu kweli ni aibu jitoto la kike lizima badala ya kumsuport mwenzao ndo ya kwanza kumtukana utazani hao ni mabikira wanangoja ndoa....
Kwani ata kama wema ana issue zake ni personal issue za mtu....lakini watu ni blaaa blaaaaa blaaaaaa tuu.
 

Wamezidi Sana hata kama ni makosa kila mtu anayo ina maana yee Hana jema jamani tumpe support kwa jema afanyalo hakuna asiye na dhambi Dunia hii. Sasa wanawake ndo vinara kupondeana hadi wanaume wanatuushangaa.
 

Labda Wema ana damu ya kunguni. Lol
But sijashawishika kukubali kuwa kama Wema ni malaya basi ndo na kuigiza hawezi labda watoe sababu nyingine manake hao niliowataja hapo wanakitembeza ka nini lakini wanaigiza vizuri na muvi zao zinauza.
 

Small pdidy Jr! ! Teh teh teh! Huu uandishi kiboko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…