Wema Sepetu Hajapendeza hata Kidogo

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043





Hapo Wema Kafanya Tangazo lichekeshe sasa Badala ya Kuvutia !

Sijui nani alimshauri !
 
huyu dada hata avae nn anapendeza, mumuache miaka 100000000000000000 akinyoa mnasema akisuka mnasema lo!
 
Kapunguza mkorogo anapendeza
 
Hamjui ukifanya PROFESSIONAL PHOTO SHOOT kama hilo tangazo kila kitu kinaamuliwa na PROFESSIONALS.? Wema hapo hakuwa na say! Hilo labda mumlaumu costume designer au make up artist kama alichagua hio look,! Kiroho safi lakini!
 
Hamjui ukifanya PROFESSIONAL PHOTO SHOOT kama hilo tangazo kila kitu kinaamuliwa na PROFESSIONALS.? Wema hapo hakuwa na say! Hilo labda mumlaumu costume designer au make up artist kama alichagua hio look,! Kiroho safi lakini!

Pia inawezekana ni markwting trick tu ya airtel, kuwaprovoke muongee sanaaa na kushare tangazo owa wingi, hukunmnaponda huku mnapata na kusambaza ujumbe! Inaitwa KANTANGAZEEEEEEEEE,!
 
Airtel nao wanavijembe wamemuweka Wema kwenye bango na promo inaitwa 👉 #WTF 👈
 
nguo haina tatizo ila wamemtoa macho yamvimba na uso wangetumia camera 360
 
Pia inawezekana ni markwting trick tu ya airtel, kuwaprovoke muongee sanaaa na kushare tangazo owa wingi, hukunmnaponda huku mnapata na kusambaza ujumbe! Inaitwa KANTANGAZEEEEEEEEE,!

hahahahahahah haters wa mange wamekuchanganya wallah unajiquote mwenyewe lol
 
Mbona la kwwaida tu watu wamezoea kuponda kila siku me sioni ubaya wa hilo tangazo.
 
Pia inawezekana ni markwting trick tu ya airtel, kuwaprovoke muongee sanaaa na kushare tangazo owa wingi, hukunmnaponda huku mnapata na kusambaza ujumbe! Inaitwa KANTANGAZEEEEEEEEE,!

Siku hizi sikuoni mara kwa mara kwenye jukwaa lako. Au umeshapata kazi?
 
kapendeza bana.wangemchukua dada yako tuone kama angependeza..
 
Hamjui ukifanya PROFESSIONAL PHOTO SHOOT kama hilo tangazo kila kitu kinaamuliwa na PROFESSIONALS.? Wema hapo hakuwa na say! Hilo labda mumlaumu costume designer au make up artist kama alichagua hio look,! Kiroho safi lakini!

Yes kwenye matangazo makubwa kama hayo each and everything kinaamuliwa na wao , including physical appearance na mapozi ya kukaa, kwa wao nadhan wamependa hvyo
 
Nyuma ya keyboard kuna ficha mengi,utakuta anayemnanga huyo binti utakuta sura yake kama Masoud Surambaya.

Hata wema hana natural beauty

She applies a lot of makeup on her face ili aongeze mvuto, kuna mademu wameumbika wewe , yaan natural ukiwaona wako vizur. Kamfuate madame kwake hasubuh uone kama utamkuta hvyo.

Kila mtu ni mtu ni mzuri if it comes kwenye masuala ya urembo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…