Wema Sepetu Hajapendeza hata Kidogo

Teh teh Mkuu ungesema hajapendeza ingetosha..Ila umeongezea "hata kidogo" Kwa msisitizo kibongo zaidi 😀

Naunga mkono hoja..Tangazo libadilishwe 😉
 
tangazo halina tatizo labda km kuna lingine...
 
Huyu binti masikini hata afanye nini watu kazi Yao kutoa kasoro. Mumuwache binti sepetunga afanye yake
 
tangazo liko okay...wema pia ametokelezea powa..asiyependa akanye tikiti

ni bahati mbaya sana hata vilaza wanapata fursa ya kujadili ndan ya nyumba hii ya great thinkers. habari za kunya tikiti zimetokea wapi?
 
Huyu binti masikini hata afanye nini watu kazi Yao kutoa kasoro. Mumuwache binti sepetunga afanye yake

hajakatazwa kufanya yake na kwanza maneno ya watu si sheria ila tunachokisema hadhi ya hilo tangazo imeshushwa na muonekano mbaya wa wema. HAJAPENDEZA!
 
Wewe mzuri unamjua mzuri na mbaya anafananaje hebu weka picha yako au ya dada yako tuichambue uone kama utasifiwa

Hakuna mbaya hata mmoja labda wewe unayebisha bogaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…