Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Kachoropoa nyingi tuu yule hazina idadi ila alimtaja kanumba koz ni marehemu(rip)[emoji19]Kanumba ashawahi mdunga mkuu, ila Wema akaichoropoa
Tehe! Tehe! Tehe!!! Kuna Makabila Jmn Pita Mbali, Kama Unatamani Kuonja Radha Sawa!!! ILA Mke Wa Maisha Yako, Pita Mbali!! HILO Ni Mojawapo!!!hahahahahah huyu mwanamke ana mapepo ingekuwa ni ufutio hiyo papuche ingeshaisha ee mungu nyaturu ni shida na anawadhalilisha
Aliye msafi na awe wa kwanza kurusha jiwehahahahahah huyu mwanamke ana mapepo ingekuwa ni ufutio hiyo papuche ingeshaisha ee mungu nyaturu ni shida na anawadhalilisha
Dangote kibamia atawezea wapi. Uganda kaweza sabb tunajua wanawake wa kule wanavutaga ile kitumimba yenyewe imepatikana kwa shida saaana kwahiyo lazima idris apewe sifa hahahaha ndomo aka dangote kajipinda weeee hakuna kitu
Ndio kina nani hao?
Kumbe unamjua ila kiburi tuSasa hivi kampata sura ndefu wa kupiga nae picha basi kelele kila siku kwenye mitandao, wanawake wenye mapenzi ya kweli wako kimya wala hawapigi kelele.
sasa akivuta inasaidiaje kupata mimba?Dangote kibamia atawezea wapi. Uganda kaweza sabb tunajua wanawake wa kule wanavutaga ile kitu
ahahaha tatizo nyotaaaMbona kama Wema anamwonea Idrissa wa watu kijana mdogo bado mbichi kabisa kwenda kujipachika kwa jimama la radhi si busara.
Google baby google!sasa akiuuta inasaidiaje kupata mimba?
Haaaahaaaaa wabongo bana bi zarina kwa dangote mnabariki ila idris kwa wema kosa! Mbona mishipa ya macho itawatoka mwaka huuπππMbona kama Wema anamwonea Idrissa wa watu kijana mdogo bado mbichi kabisa kwenda kujipachika kwa jimama la radhi si busara.
Sitaki kuamini kuwa icon wetu naye hana mapenz ya kweli huko south. Maana full matangazo kila siku uwiiiiKumbe unamjua ila kiburi tu
eti mimba yake inaukubwa wa miezi mingapi....??sasa akiuuta inasaidiaje kupata mimba?
najua basi?! mi si mshabiki wa instaeti mimba yake inaukubwa wa miezi mingapi....??
hahahahahahahaha lol umenichekesha kweliMwenzenu alikuwa ana changisha, ati kajaliwa kuwa na kabank kakuhifadhia mbegu au storage tank ndio kale kwenye vile vihips utadhani mimba ya mbuzi Idrisa ndio ame bahatika kukamilisha collection iliyo hitajika kakatengenezwa ka zygote basi subiri uone kiumbe kitakacho shushwa hapo, kitakua na sura ya kila aliye loweka kamba yake, kama una zikumbuka sura zao sasa zichanganye uone salad itakayo patikana hapo,mdomo wa baba flani,uso wa nyumbu wa aliye funga komeo, na viungo tofauti tofauti vya kina nani hii.
Aah binamu sasa unaanzaje kuwasifia waliopita while una kipya kinyemi? Enjoy while it lasts bana, akiondoka na yeye unamsahau tu teh tehAkipata mwingine nae atasifiwa hivyo hivyoo,wema kumanyokoo
clemee
jose mara
na wale wagizani wengine tukiataja tunaweza ungwa na kina babu nani hii jail hahahahahaha papuche oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee