Wema Sepetu, inafaa aingie kwenye kitabu cha maajabu cha Guiness


Wee nawe ovyo kabisa, sasa hao wa kimboka nani kawafagailia??
 
Sasa T.I.D anategemea Wema arudi kwake yeye apeche alolo mla unga?
 

Teh teh umeamua kumtetea wema
 
Sembe Mbaya sana unaropoka chochote.
 
Kweli Wema ni UTAMU wa TAIFA
Hahahahaaa!
hahahahahahaha ze utamu wa taifa hee hivi sa hiz nani anamkanyaga au bado idrisa anagonga ngozi


duh nimepata msamiati mpya leo


UTAMU WA TAIFA.......................... ILE YA KIINGEREZA HAIJANOGA KAMA HIII

TANZANIA SWEETHEART😱
 
[emoji15] kumbe wewe ni "ke"..!!!

naomba mpunga bhasss
TEHETEHE NIONE BADAE BY NOW SHAFANYA MAGUMASH NASUBIRI MPUNGA KWA -MPESA KAMA UNAKAMATA BIA NIONE MAENEO YA MAKUMBUSHO
 
QUOTE="Jambazi, post: 16042089, member: 200911"]It's called freedom of speach why
can't people just except it why
should he have to apologize for his
opinion[/QUOTE]
Did you mean accept or except in your above statement?
 
Huyo dada wa Clouds 360 huwa simuelewi mavazi yake kabisaaaa.
Kama hapo sijui kavaa nini!
Aende na wakati,ni mzuri kama akijijulia mavazi stahiki kwa mwili wake.

Back to TID hizi mambo hazina maana tena,mkongwe kama yeye afanye kazi nzuri kudhihirisha kipaji chake na sio kutafuta kick za kijinga namna hii.
 
Eti bora afanye Video hapa hapa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake! Toka aanze Ku shoot video Ni video gani alishawahi kutangaza vivutio vya Tanzania? Kati ya yeye anayefanya video hapa na wasanii wanaofanya video nje, nani wanaitangaza Tanzania? Aseme Tu kuwa uwezo WA kutoa Millions 15, 20 au 30 kwenda kufanya video nje sina!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…