Wema Sepetu, inafaa aingie kwenye kitabu cha maajabu cha Guiness

Wema Sepetu, inafaa aingie kwenye kitabu cha maajabu cha Guiness

Huyo dada wa Clouds 360 huwa simuelewi mavazi yake kabisaaaa.
Kama hapo sijui kavaa nini!
Aende na wakati,ni mzuri kama akijijulia mavazi stahiki kwa mwili wake.

Back to TID hizi mambo hazina maana tena,mkongwe kama yeye afanye kazi nzuri kudhihirisha kipaji chake na sio kutafuta kick za kijinga namna hii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Hebu nipe kaujuzi angetakiwa avaejeeee
 
Tid anajiita power bank. Sasa nabaki najiuliza power bank ina chaji na kuchajiwa. Na yeye anachajiwa??
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Hebu nipe kaujuzi angetakiwa avaejeeee
Umbo lake kubwa,angevaa vigauni amazing vya kushona/special vya kumbana kifuani chini vipwaye...
High heels na kama akivaa suti basi ziwe za ukweli.
Watangazaji wa kike wa Kenya wananikosha sana mavazi yao.
 
Hamtetei wema anatetea wanawake wote ambao watu wanawahukumu bila kuangalia hali halis au kutafakari wenyew wamefanya mangapi
 
Wee nawe ovyo kabisa, sasa hao wa kimboka nani kawafagailia??
kwan huonagi kila siku nyuzi zinatupiwa humu nataka kwenda kununua malayya kimboka?
AMA WANAOTUPIAGA SIO WANAUME?
 
Huu uzinaona umejaa Sarcasm....Kuanzia kwa huyo TID mpaka kwa wachangiaji.............Eti kapuku mmoja anasema hata yeye hamtaki wema..........Hahahaha....Haya bana
 
hivi sasa kwan yeyey TID kama keshachungulia wengi kwann na yeye asiingie kwenye gueness book??
simply kwasabb wema ni mwanamke ila kwa mwanaume hata akitoka na watu milion bado ana haki sio?
mnajifariji kwa vitabu vya dini kuwapen uwezo wa kuoa awanawake wengi lkn mnasahau kwamba hata cleopatra alokuwa malkia na queen of sheba waliweza kuwatia kiblan wanaume mabandidu wa stail zenu.

kiufupi mwachen wema aishi maisha yake.

Wee waache waringe tu kiboko yao alikuwa Bi Khole bint Said wa Zanzibar aliyeishi kwenye miaka ya 1840 mpaka 1880s. Inasemekana alikuwa akishatembea na mwanamme akimnyamazisha kabisa (akimuua) ili siri yake isitoke nje. Ilikuja kugundulika siri hii kijana mmoja aliposevu na kutoroka kwenye kasri la bibi huyu.

Huyu bibi akiishi Bungi Zanzibar na mabaki ya kasri lake yapo bado (panaitwa kwa Bi hole)
 
TID Afunguka 'Nilikuwa Natoka na Wema Sepetu Alafu Akaniambia Hanitaki..Sasa Hivi Akitaka Kurudi Hakuna Nafasi Tena'



Akiwa Katika Kipindi cha Clouds 360 leo Mwanamuziki TID Amefunguka Kuhusu Kutoka na Wema Sepetu...

"Nilikuwa "namdate" Wema Sepetu akaniambia Sikutaakiiii....tangu kipindi hicho nimekuwa na Wasichana wengi...Ikitokea Wema Sepetu anataka kurudi hakuna nafasi Tena"I'm occupied".

Pia TID Amemuongelea Mwanamuziki Ommy Dimpoz na kusema kuwa yeye ndio aliyemtoa

"Alikuja studio kwangu akiwa anavaa ndala na kupitia kwangu alijuana na watu muhimu kama Ali Kiba na Ruge Mutahaba". Anasema pia yeye anapenda na ni bora afanye video zake hapahapa Tanzania ili kuitangaza nchi yetu na vivutio vyake zaidi.
Umalaya ndio ustaa wa bongo
 
This is too low for TID! Anazeeka aache poda. Then muda umeshamtupa mkono.
 
Back
Top Bottom