Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
- Thread starter
-
- #61
khaaaaaaaaaaaaa mkuu unaua bendi yaani wakichunguliwa na kila mtu wanajiona masta wa kiwango cha phd na kuna wanawake wanawatetea wanataka watoto zao wawe kama huyu kahaba teheteheUmalaya ndio ustaa wa bongo
cc remy ongala hahahahahahahaWeeeema wema kuna ukokoo
Wanaojiuza hatuwezi kuwasema maana yule hana kificho yupo kibiashara.lakini hawa dada zetu wema na lulu wanajifanya watakatifu wakati papuchi zinagongwa na kila raia mwenye vitz ama escudo.kwan wewe huyu wema ana ulemavu gani hasa ambao hutaki mwanao aupate?
hivi umeshawah kujiuliza watu wasokuwa macelebrity wanatoka na watu wengi kiasi gani hadi leo muhukumu wanawake wachache hivi?
nakasirika sana mnapofikia hatua ya kumhukumu wema na sio yeye peke yake bali hata Lulu. najiulizaga wale wanaouza miili pale kimboka na sugar rays je wao wametoka na wangapi? mbona hao hawawi point of discussion?
kama ambavyo na hao wanaume wanavyogonga papuchu za kila mwenye hips na lipstick modomoni akiweka na lace wigiWanaojiuza hatuwezi kuwasema maana yule hana kificho yupo kibiashara.lakini hawa dada zetu wema na lulu wanajifanya watakatifu wakati papuchi zinagongwa na kila raia mwenye vitz ama escudo.
TID kweli anakwisha...hadi yeye anataka kumtumia Wema kupata kick..?
Enzi zake TID angejifanya hata Wema hamjui..
Alishapitaga bwanaTID kweli anakwisha...hadi yeye anataka kumtumia Wema kupata kick..?
Enzi zake TID angejifanya hata Wema hamjui..