Ok, halafu raisi ndio anakuja kuwatangaza aliowachagua baadae, baada ya wabunge wengine kushinda?
Huyu chiz ngoja sasa siasa imtie adabu, anahis huko n instagram palko jmaa mashangingi wenzie eeeh
Nafsi yangu inamkataa miaka 800 na watakaomchagua ni vicheche wenzake
Bora uongee sahivi, make huo muda unaongoja kuongea utakua kikongwe mnooo wa kuanika juani kama nguo vile
ubunge sio tuzo za watu kwamba kura zitatoka Instagram
hapanaa,akipigiwa kura na hao wajumbe wa baraza vijana mkoa wa singinda,Kisha sasa mnyukano unakua Dodoma wanapigiwa tena kura na mkutano mkuu taifa hapo sasa akishinda ameshinda ,
Bado lulu nae....
Ana haki jamann..
Eti labda agombee ubunge wa sungura lol watu bwanamwezi wa saba SI mbali ,halaf kwanini vitimaalumu SI angegombea ubunge wenyewe tu
Muigizaji marufu na x-girlfriend wa Diamond platnumz, Wema Sepetu amechukua fomu ya kugombea ubunge wa viti maalum kupitia CCM.
Akiongea na host wa kipindi cha ala za roho cha clouds fm kilichorushwa hewani tarehe 16 juni 2015 mmiliki huyo wa lebo ya Endless Fame amethibitisha hilo kwa njia ya simu alipohojiwa..
Je.. Utitiri huu wa vijana ndani ya ulingo wa siasa utaleta mabadiliko chanya kwa taifa mbeleni au ndo wengi wao wanafata ulaji kwanza...??
..........Shukran........
Bora achukue kuna wabunge kibao vilaza
Mheshmiwa mwenyewe anapinga uzalendo aishie buana akaombe kura Nigeria hukoHuyu kweli hastaili kura za kupita huko CCM maana amekazania kutaka wasanii wasitangaze nchi yetu ya Tanzania, embu wana CCM mutuletee CV yake tuione pia sababu sijawahi muona akirusha akiwa katika ukamanda akina Juliet mbona wao wanachakarika na wenzake yeye anaubavu gani kuona atapita? Au ndio zile za mab.abu?