Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ok, halafu raisi ndio anakuja kuwatangaza aliowachagua baadae, baada ya wabunge wengine kushinda?
hapanaa,akipigiwa kura na hao wajumbe wa baraza vijana mkoa wa singinda,Kisha sasa mnyukano unakua Dodoma wanapigiwa tena kura na mkutano mkuu taifa hapo sasa akishinda ameshinda ,