Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

I like that mrembo by nature km hawataki hawalazimishwi but habari buree gazeti peeesa ndio binti was sepengaa anaingiia hivyoo mjengoni

Wakwende huko....tatizo elimu zero na hawajui taratibu za politics ....hawajui kwamba siasa haihitaji usomi na kamwe no morality pale. Siasa ni kupata power by whatever means haijalishi unapataje.
Utaalamu uko kwenye utumishi Wa umma na sio kwenye siasa. Shangaa Diwani Wa std 7 failure anamchachafya mkurugenzi (ambae ana masters) kwenye baraza LA madiwani.
 
Hii kik ya kumfanya aishi mjini huyu demu nyie hamjui nn hamna cha ubunge wala mavi ya ubunge huku bajeti inajadiliwa huku mnaletewa wema msahau kujadili ya maana muanze kumjadili wema hivi kwa akili zenu kabisaaaaaa kabisaaa wema awe mbungeee mbona hii ni zaidi ya tom n jerry,,,,,,, mmmmmhh kwa ccm kwa kutoa miujiza nchi hii hawashindwi alafu na yy utamkuta kwenye kamati ya sieejiiiii:sly::sly::sly::sly::sly::sly:
 
Hivi hii nchi tumerogwa jamani..yaani kuna watu wanamsapoti huyu Mtu asiejitambua...
We subiri aende kuwa chakula ya wabunge.
 
Hao wa viti maalumu wanaendaga mjengoni kuburudisha wahashimiwa wetu..ni vipoozeo na michepuk ya wabunge na mawaziri..sitashangaa wema akichaguliwa..mbona wamekuwepo wengi tu wa dizaini yake mjengoni
 
Wema angeenda kugombea ubunge jimboni kupitia kura za wananchi,,dah . Nimesikitika sana kwanini Kadinda hakumshauri hivyo maana unajua Wema ana nyota angeshinda tu ,,hasa angeenda jimbo la Tundu lissu, Wema hebu fikiria upya nenda jimboni unaweeeeza. #Ccmdemkrasiimetamalaki
 
Anakidhalulisha chama Kwa kweli, afute kauli yake, ccm kimekua chama kisichoeshimiwa Kwa kiasi huko jamani?
 
Hao wa viti maalumu wanaendaga mjengoni kuburudisha wahashimiwa wetu..ni vipoozeo na michepuk ya wabunge na mawaziri..sitashangaa wema akichaguliwa..mbona wamekuwepo wengi tu wa dizaini yake mjengoni
Na mimi ninawashangaa wanaoona ni kitu cha ajabu! Ms Ubaya ana kila sifa ya vitu maalum vya CCM!
 
Hii hatari kule Shilole,huku Wema wote Mjengoni.
 
Mbona huyo Dada saizi yake ni URAIS,sioni tofauti yake yake na waliochukua fomu Dodoma,anyway kila la kheri ila uongpzi kama huo hakuna bifu na mtu yeyote na wala KAJALA umpende kwanza
 
Kuna tofauti gani kati ya wabunge wa viti maalum na wale wa vitu maalum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…