Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
kwa mwendo huu wa kufuta post na picha za madame hapa jukwaani basi inawezekan kweli akapitishwa maana mmmnh!!Ngoja nipige mzigo kwa muhindi
Khe! Kumbe umeajiliwa? Unatufatisha majobless? Shauri yako subiri baniani akufukuze kazi uone hata pesa ya bundle ya kuingia humu itakavyokuwa mgogoro. Wenzio hapa ndio ofisini usitufatishe unapotea.