Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
uwe unajaribu kusamaraiz basi ,wewe kila mtu upo nae karibu,kila kitu unakijua,,,,ulishawah sema unafahamiana na wema Leo hamfahamianii,,hizo kura za ubunge vitimaalumu nazijua Sanaa na Kati ya wapiga kura nami nimo pia
Halaf huyu mbwa wenu SI mnasema Ana nyota kwanin asigombee ubunge wenyewe au angegombea urais kabisa maana Ana nyota au nyota ipo kwa Daimond Tu kwa kuwapaisha kina mirror nyota imegoma hata tuzo moja ya kuchambia wakakosaa,
Minasubiri huo mwezi wa saba ndio mchuano,kumbuka lazima ahonge pia wilaya zote na unawajua uwt na vijana,angalia asije umbuka
Mim siwez Hama hata apate cheo cha Mungu
Umepanic sana, si wewe kila siku unahubiri nothing serious hapa?! Haya na wewe uandishi wa magazeti umeanza lini?
Retreave hapa bandiko ninalosema mimi na Wema tunafahamiana nitaomba ban kwa Mods kwa kuwadanganya wana JF.