Wema Sepetu kupandishwa kizimbani

Wema Sepetu kupandishwa kizimbani

mnafurahi wenyewe kuona binti sepetu mabaya yanamfika...kwanza aliyepiga watu ni petit ila mmpepindisha hadi heading inamhusu wema. satelite ya wema ni kali sana yule kushuka si leo wala kesho. chukueni viti mkae msubiri maana si leo wala kesho

happy new year kubwa la maadui? nipo uku uganda busy na kikao cha harusi ya ndomo na xari, mwaka huu team naniliu zitajibebaa
 
Mimi nakuambia jukwaa nimeliona chungu sana hili,nilisema hadi warumi arudi ndio nitakuja huku..lol

mwenzangu siku izi umbea hamna, hawa wasanii sijui ndo wameamua kutukomesha wambea, sasa tutaandika nini sijui, inabidi tuanze kujichamba wenyew sasa, au nipe scandal ya Mrembo by Nature tuanze kumdadavua apa
 
Last edited by a moderator:
happy new year kubwa la maadui? nipo uku uganda busy na kikao cha harusi ya ndomo na xari, mwaka huu team naniliu zitajibebaa

ndoa alifunga prince wa uingereza na yule mdada sembuse ya daimond na huyo mbibi chu...pi mkononi
 
asantee, happy new year pia dina, Mumgu akufanyie wepesi kwa kila ulolipanga 2015. akusaidie pia chiko dhidi ya wema ipungue maana chuki hupunguza mibaraka na siku za kuishi

Hhhhhhaaaa nashukuru sana mrembo wangu,wema nampenda mpaka najikojoleaaaa,,mafuriko vipi huko au bado upo ghana
 
happy new year kubwa la maadui? nipo uku uganda busy na kikao cha harusi ya ndomo na xari, mwaka huu team naniliu zitajibebaa

Uuuwii sema haki ya Mungu...
 
bas jitihada zako naziona mama maana hapo ndo angekua anakulipa dah binamu ungekua mbali ngoja nkatoe picha zangu na nibadili jina nianze kukuchamba kule ig mieee maana

tatizo maaskari wa hiari wako kila kona. vichambo vingekuwa risasi labda. vichambo ni maneno tu ukiyapuuzia wala hayakudhuru. ningekushauri uache kuchambana maana 2015 ni mwaka wa heri. ni mwaka wa kutafuta hela tu. ni mwaka wa kulia na Mungu zile ndoto zote zilizoyeyuka zitimie haters waaibike, dharau igeuke iwe heshima. kwa kifupi utakuwa ni mwaka busy sana.
kwa kifupi hata hapa nitaadimika kiaina.
Mwaka wa hela
 
tatizo maaskari wa hiari wako kila kona. vichambo vingekuwa risasi labda. vichambo ni maneno tu ukiyapuuzia wala hayakudhuru. ningekushauri uache kuchambana maana 2015 ni mwaka wa heri. ni mwaka wa kutafuta hela tu. ni mwaka wa kulia na Mungu zile ndoto zote zilizoyeyuka zitimie haters waaibike, dharau igeuke iwe heshima. kwa kifupi utakuwa ni mwaka busy sana.
kwa kifupi hata hapa nitaadimika kiaina.
Mwaka wa hela

nimecheka sana ujue mwaka huu ht mie ubize utaanza hapa ngoja mambo yaanze kuchanganya tutatafutana hapa
 
mwenzangu siku izi umbea hamna, hawa wasanii sijui ndo wameamua kutukomesha wambea, sasa tutaandika nini sijui, inabidi tuanze kujichamba wenyew sasa, au nipe scandal ya Mrembo by Nature tuanze kumdadavua apa

Hahaaaaa, Mrembo itabidi tujipange kweli la sivyo tutachambwa sisi..lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom