Wema Sepetu kuzindua filamu yake leo kwenye birthday yake

Wema Sepetu kuzindua filamu yake leo kwenye birthday yake

Ina maana mimi ni mkubwa kuliko wema 2006 nikiwa fomu one huyu ndo alikuwa miss Tanzania leo ni mdogo kuliko mimi khaaaa
Aisee hata mm mwaka huo nilikua Form 1 huyu bidada alikua star tayari,means mpaka anaruhusiwa kushiriki mashindano ya umiss alikua ana miaka 18 au 18+ then leo aseme ana 28? She is not serious for real. Kwa hesabu za haraka ana 30-32 hv
 
Mrembo kutoka kiwanda Cha bongo movies Wema Sepetu maarufu kama Tanzania sweetheart Leo anatimiza miaka 28 huku akizindua filamu yake mpya iitwayo D.O.D aliyomshirikisha msanii maarufu kutoka Ghana Van vicker pale mlimani city
Filamu hiyo ilighairishwa kuzindua Mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye muda umefikaView attachment 880204
Hiv kwan wema si alikua miss tz 2006? Ina maana miaka kumi nq mbili iliyo iliiyo pita alkua na miaka 16 na akashnda umiss?
 
Kwaiyo wema na daimond sawa au miaka kama minne nyuma alifanya birthday alikuwa na 27 Leo dah ila moja ya papuchi ninayotaka niionje na Mimi
 
Hata mm ivo ivo tangu nianze kumsikia tangu nasoma mpaka saivi mm nna miaka 32 yy bado 28[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nimekua namsikia Wema Wema Wema.

Chakushangaza sasa
Mimi nimetimiza miaka 30 ila yeye bado yupo 28 tu.

Hbd kwake
 
Hongera sana Wema we ni mwanamke mpambanaji wa kuigwa na hodar sana.Big up sweetheart!
 
Ina maana mimi ni mkubwa kuliko wema 2006 nikiwa fomu one huyu ndo alikuwa miss Tanzania leo ni mdogo kuliko mimi khaaaa
japo Miss wetu anadanganya ila ulichelewa shule. tena sana. Tuseme una 29. inamaana ulianza sekondari na miaka 17!!?. We siyo mfano mzuri wa kufananishia.
 
Sijawahi kuelewa kwanini wanawake wanapiga hizi makeup mtu anakuwa kama andazi lilitolewa kwenye mafuta
Hata maana wanakuwa wantisha badala kupendeza

Sijui hawajitazami kwenye kioo

Demi akitoka kuoga n mzur na mtamh KULIKO aingie kujikologa
 
Im not a hater....ila gauni alovaa leo, kwangu ni big No!!! Maybe coz nilitegemea makubwa kutoka kwake....esp kwenye siku yake special kama leo.....
 
Im not a hater....ila gauni alovaa leo, kwangu ni big No!!! Maybe coz nilitegemea makubwa kutoka kwake....esp kwenye siku yake special kama leo.....
Mkuu ulienda kwenye hiyo birthday??
 
Back
Top Bottom