Wema Sepetu kuzindua filamu yake leo kwenye birthday yake

Wema Sepetu kuzindua filamu yake leo kwenye birthday yake

Warembo wa bongo movie hawajawahi kuvuka miaka 30 kila siku ni 27,28.....
 
Ni sawa. Kazaliwa mwaka 1988. Hiyo miaka 28, kaitaja mleta uzi huu. Sidhani kama alimtuma.
Halafu, tumeacha kuujadili ujumbe tulioletewa, tunajadili umri wake tu!
Tunajadili "yatokanayo"
Bado ni sawa tu mkuu!
 
Ila m..nye ina milage hatari!!

Hivi hiyo filamu aliyoizindua haina maudhui ya akina "mandingo" kweli!!?
 
Hii miaka ya huyu mwanadada huwa haiongezeki?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Harmorapa nae hakua nyuma,naona kama vile ndoto ya chali inaenda kutimia,just a matter of time...
Screenshot_20180929-142347.jpg
 
Mrembo kutoka kiwanda Cha bongo movies Wema Sepetu maarufu kama Tanzania sweetheart Leo anatimiza miaka 28 huku akizindua filamu yake mpya iitwayo D.O.D aliyomshirikisha msanii maarufu kutoka Ghana Van vicker pale mlimani city
Filamu hiyo ilighairishwa kuzindua Mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye muda umefikaView attachment 880204

Wema mi lav yaa. Hilo nywele zuri du so sexy. Yummy....
 
Back
Top Bottom