jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Akadanganye kipumbuiko!!Huyo bibi ana miaka 37+ asitake kudanganya watu labda akadanganye nanjilinji huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akadanganye kipumbuiko!!Huyo bibi ana miaka 37+ asitake kudanganya watu labda akadanganye nanjilinji huko.
Ni sawa. Kazaliwa mwaka 1988. Hiyo miaka 28, kaitaja mleta uzi huu. Sidhani kama alimtuma.Alisema kwa interview anatimiza 30
Tunajadili "yatokanayo"Ni sawa. Kazaliwa mwaka 1988. Hiyo miaka 28, kaitaja mleta uzi huu. Sidhani kama alimtuma.
Halafu, tumeacha kuujadili ujumbe tulioletewa, tunajadili umri wake tu!
Kama umegundua... wambea wengi ni mabingwa wa kulisha watu maneno na waluwalu pia.... wanatunga tunga mambo ilimradi kuchangamsha gengeNi sawa. Kazaliwa mwaka 1988. Hiyo miaka 28, kaitaja mleta uzi huu. Sidhani kama alimtuma.
Halafu, tumeacha kuujadili ujumbe tulioletewa, tunajadili umri wake tu!
Menopause si mchezo....Kumbee...wadada tunapenda ujana...
Uyo wa 1985 angalia tu sura mkuuNi sawa. Kazaliwa mwaka 1988. Hiyo miaka 28, kaitaja mleta uzi huu. Sidhani kama alimtuma.
Halafu, tumeacha kuujadili ujumbe tulioletewa, tunajadili umri wake tu!
huyu dada hakui na sura inaonyesha umri umeenda bado tu yupo 30s kweliMiaka 30...sio 28....
Amenichubua ndio maana kachakaa sana sura...ila ana 30huyu dada hakui na sura inaonyesha umri umeenda bado tu yupo 30s kweli
Maajabu ya tz sweetheartIna maana mimi ni mkubwa kuliko wema 2006 nikiwa fomu one huyu ndo alikuwa miss Tanzania leo ni mdogo kuliko mimi khaaaa
Mrembo kutoka kiwanda Cha bongo movies Wema Sepetu maarufu kama Tanzania sweetheart Leo anatimiza miaka 28 huku akizindua filamu yake mpya iitwayo D.O.D aliyomshirikisha msanii maarufu kutoka Ghana Van vicker pale mlimani city
Filamu hiyo ilighairishwa kuzindua Mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye muda umefikaView attachment 880204
Hajaisha bhana acha kunenea wenzako maneno kama haya si poa bhana.Amekwisha walahi