zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
[emoji23][emoji23][emoji23]nacheka eti umenitaja jinaZagarinojo Katika ubora wako.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwani mkuu unateseka?
Mimi naomba agande hapo hapo kwenye 30 hata miaka 4 ijayo ndio afikishe 31
[emoji1787][emoji1787]Wema Sepetu amezaliwa 1987. Ana umri sawa na Jokate Mwegelo
dully sykes kasema 40Dully Sykes- 60
Maana alikuwa mrembo miss Tz 2006 na alikuwa Ana 20Huyo ana zaidi ya 36 ,,kuanzia mwaka 2012 alikuwa kila mwaka anasema ana 24,,kasimama Mara 4 kila mwaka ana 24 haipandi..
Sasa kaona aibu baada ya nyama za mikono kushuka.
Wajuzi wa mambo wanasema 45 kwa mujibu wawalio soma naeHata hiyo thirty two nakataaaaa.