Wema Sepetu mbona udanganye umri, ukizeeka kubali tu

Wema Sepetu mbona udanganye umri, ukizeeka kubali tu

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,846
Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya Twiga wao wanamwita Tanzanian Sweetheart (japokuwa binafsi huwa sioni urembo wake).

Binafsi yeye amesema kuwa ametimiza miaka 30 Ila wadaku wa mambo wanakuambia si miaka 30 bali 32 kwasababu amezaliwa mwaka 1988 so up to now ilitakiwa iwe miaka 32.

Hii tabia ya kudanganganya miaka wanayo mastar wengi wa kike si Tanzania pekee bali duniani kote sijajua sababu ya wao kufanya hivyo.

Labda wanataka wapate madili na wadate na wakaka wadogo labda ndio sababu
 
Huyu wema Sepetu anamiaka 30, ivi aligombea umiss akiwa na miaka mingapi? Mana iyo 2006 , me nilikuwa form one . Nikiangalia miaka yangu mpaka sasa naona kanizidi miaka 2 tu.

Kiujumla Mimi nimekuwa Ila yeye naona yuko stagnant, hata kumkula naweza Sasa,
 
1990 September 28 kazaliwa
1995 January darasa la kwanza, miaka 4
2001 September 25 necta darasa la saba, miaka 10
2002 January form one, miaka 11
2005 nov form four, miaka 15
2006 August, miss Tanzania, miaka 15
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ikifika 2030 , atasema amezaliwa 2000 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom