Wema Sepetu mbona udanganye umri, ukizeeka kubali tu

Wengine umri mkubwa sura ndogo hapo unalilia ukubwa. Huku wengine wanalilia utoto ama kweli
Wema amezeeka bana hana chake mjini aachie kina Mimi Mars na Mobetto watoto wa mjini saiv
 
Bro unawaza kumla wakati amechoka hiyvo. Mimi kwa sasa hata akikaa u.ch.. mkonga hausimami.
 
Huyo ana zaidi ya 36 ,,kuanzia mwaka 2012 alikuwa kila mwaka anasema ana 24,,kasimama Mara 4 kila mwaka ana 24 haipandi..
Sasa kaona aibu baada ya nyama za mikono kushuka,na uso wake kuanza kuzomea watu...
36 mnamsingizia kuna pisi walikuwa class moja sekondari na alikuwa mkubwa kwa Wema Sasa hivi hiyo pisi ndiyo 33 huyu azidi 32 Sema kabanduliwa na kumwagiwa makeup za kila aina usoni iwe Nigeria,Warabu,Bongo movie mradi kamwagiwa.
 
36 mnamsingizia kuna pisi walikuwa class moja sekondari na alikuwa mkubwa kwa Wema Sasa hivi hiyo pisi ndiyo 33 huyu azidi 32 Sema kabanduliwa na kumwagiwa makeup za kila aina usoni iwe Nigeria,Warabu,Bongo movie mradi kamwagiwa.
Duu,,aisee!!
 
Mange anatundanganya bhna. Form 4 miaka 14?? Manake kaanza form 1 na miaka 10. Ukitoa miaka sita since kasema alirukishwa darasa moja manake alianza darasa la 1 na miaka 4 ???? Jaman
Mastaa waongo waongo si wakuwaamini sana.
Ila wife wangu class kwake walishasomaga na binti alikua 10 years old wakiwa form one. So inawezekana kabisa.
 
Maisha hayana adabu haya, kwamba leo hii Wema ni 'reject' kabisa wa kuzomewa namna hii?

I can’t imagine how desperate she feels!
 
1984 kazaliwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati akishinda taji la Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu alitajwa kuwa na umri wa miaka 18. Lakini taarifa zake zilizokuwa BASATA zilionyesha kuwa alikuwa na umri chini ya miaka 18, kwani ilionekana ana miaka 17. Ilikuwa almanusra anyang'anywe crown kama siyo janja janja ya kina Lundenga. So mnyongeni lakini haki yake mpeni, siyo mkubwa wa hivyo
 
Jamaa yangu anamtafuna leo yaani hawa wanawake?
 
Nilikuwa form 2,Nina miaka 17
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…