Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

If you know what i mean..... Fuatilia hizo dots then plus safari za China na South lazima uta doubt tu its the matter of time utasikia na yeye anaitwa central katika hii vita fake ya madawa ya kulevya.

Kuna msemo wa kiingereza wanasema " i will tell about you if u show me your friends".

Halafu Kijiweni kwa mnyama TID mbona wanashinda wengi sana akiwemo na KR Muller , Rommy Jones, Ommy etc etc au ni suala la muda tu police na RC watakuja kujchukulia ujiko kwa hawa dagaa wa huu mtandao?
 
Daaaaaaa hiii noma sana na safi sana poul makonda kwa opareshen hiii maaaana vijana wanateketea sana kwamadawa ila ray c na chid Benz cjawasikia kwenye list hiyo

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…