Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Unafanya kazi gazeti gani la udaku mkuu?
Maana hizi taarifa nimezoea kuziona ijumaa,uwazi na n.k Acha kusema vitu vya kusadikika
Qualified.... Get qualified...

Acha ku Ng'aa macho
.
 
Ukweli Mchungu..
Asante sana Mkuu.
 
Kilo ya dhahabu, huwa ni kati ya 85m and 100m kutegemea na hali ya soko
 
motives za makonda katika hii episode yake mpya ni kutafuta attention tu. look at him, he is a joke. hawezi kupata msaada stahiki.
 
ila hyo bei nayo inatisha, 1.3b eeeeh hata mimi ningelala jicho wazi
 
Grm 1 ya heroin aka Musharraf aka madevu inauzwa 24000 mpk 25000
Kg 1 ni mln 24 mpk 25mln

Ova
 
Akamate familia ya JK maana Jk aliondoka na ndege usiku mwanae asiuawe alipokamatwa na sembe China.

Wapo wabunge na mawaziri wa CCM wanahusika pia
Una uhakika na ulichokiandika au unaropoka tu nawe uonekane umepost?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…