donata fredy
Member
- Jul 22, 2016
- 45
- 84
Ha ha haa.wewe sio mtu mzuri, badala ya kusema nini kifanyike kutokomeza madawa, wewe unabeza juhudi na kujiapiza kwamba mapambano dhidi ya dawa hayawezi kuisha.... sasa wewe ulitaka nini kifanyike--- na ni kina nani hao waliozuia na fbi kuingia marekani-- wataje hapa... watu kama wewe ni tatizo tanzania, kazi yenu kubeza tu juhudi za serikali. shame on u
wanatafta kiki kivipi wewe mtanzania- itabidi na wewe uitwe polisi ukajieleze mambo haya maana inaonekana una taarifa nzuri. endelea kubeza juhudi za serikali huku ukitumia ID fake ukidhani umejificha.Ha ha haa.
Naona umeandika kwa jaziba sana. Me sikubaliani na uuzwaji na matumizi ya madawa ya kulevya. Ila kwa wanao taka kutokomeza hili naona kama wanatafuta KIKI tu
Durtete Nae Anatafuta KIKI[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha haa.
Naona umeandika kwa jaziba sana. Me sikubaliani na uuzwaji na matumizi ya madawa ya kulevya. Ila kwa wanao taka kutokomeza hili naona kama wanatafuta KIKI tu
umesema vizuriMimi binafsi naona ni bora kwa wale wote wenye utaalamu na kufahamu wahusika wangeenda kwa Mheshimiwa Makonda ili wampatie hayo majina, pia ikiwezekana watoe mbinu mbadala za kutokomeza ama kuzuia hili tatizo kwenye nchi yetu.
Sisi zote ni watanzania na nafikiri milango ya ofisi ya mkuu wa mkoa ipo wazi kwa mzalendo yeyote kujitokeza kutoa mbinu mbadala namna ya kuzuia ama kupunguza hili tatizo la dawa za kulevya. Ni maoni yangu tu.
Oi kweli auPetiman Wakuache ameshakamatwa yupo ndani
Hiyo shughuli ni nzito aiseee,we acha tu.usinaona hata ye kashindwa kumwekea swahiba wake GSM
Sijaelewa ujue!!! Au sioni vizuriUnaongea nini wewe,chonji yuko jela na bado anaendeleza biashara zake uraiani kama kawa,nguvu waliyonayo wauza ngada bongo ni kubwa kuliko unavyofikiria,alishindwa raisi aliepita na huyu wa sasa pia atafeli tu,kesi ya tumbili ukimpa ngedere ahukumu unadhani outcome itakuaje?.
IDD AZZAN alitajwa hapa jf pamoja na juma pinto ila sijawaona kwenye hiyo list
J3 si ndo leo sasaIpo listi mpya wanatakiwa waende j3 akina Vanessa na wenzake
Makonda amefanya kitu kikubwa ila siamini kama hii vita anaiweza.
Kama matamko yake yale madogo ameshindwa, sijui hili kubwa kama ataliweza.
Yeye pekee haliwezi hili bali linataka sapoti kubwa kuanzia kwa Mh. Raisi.
Muda utaamua na Tutapata majibu.
Ninamtakia mafanikio mema katika vitu hii kwani imeligharimu taifa kwa muda mrefu sana.