zimejaa siasa ndo maana hata wangesoma wao ujumbe ungekawia kufika kwani wengi walishaziweka kandoNikosa kubwa kuwataja watuhumiwa ktk Radio ambayo sio ya Taifa maana hata kma kituo hicho kinajihusisha pia au kinawafanyakazi wanajihusisha inakua ni mbaya kwani watazidi kujiakikishia kuwa wapo Salama na hawakamatiki
Hatotaja kama yuko mikononi mwa "paroko"Mbwia unga hata uweke bomba kichwani hataji pusher aisee ,wale kama wanakula kiapo fulani.
Mkuu safi ya nini ao ni washuhukiwa tu,wakiwaweka ndani ndo utoe pongezi.Nawaza tu!Safi sana
Inaeza kua kiki eti,ngoja tuone!.Hii inaitwa nitoke vipi ya makonda. Hakuna kitakachotokea, Makonda ni mzee wa maigizo, hana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu kupitia hao wasanii. Mkuu wa mkoa badala ya kuchukua hatua, una kazi ya kubwabwaja kwenye media(clouds)
Haha haha hahaKumbe urafiki wa Wema Sepetu na Petiman wakuache ndo unaunganishwa na hizi shughuli
Na babuu pia alikua wa izi ishu eeh.Babuu wa kitaa so amepata Kazi anatangaza clouds TV, kipindi cha tegua mtego,
Madawa ya nini sasa
Dada yangu mambo?Duuuuh mbona sijaipata hii? Hatari yaja.
mbona namba imeanzia kati kuanzia namba moja page yake haipo au? ni vyema tukawajua na wengine.
pitia list iyo
Nyandu Tozi aka Dogo Hamidu unasema??Dogo Hamidu - Wanaosniff na kusmoke mi ndo nawacontrol
Hao ni washukiwa,no proof hata wakiwa-expose wanaeza wawe wamehusika kweli au akuna.mbona namba imeanzia kati kuanzia namba moja page yake haipo au? ni vyema tukawajua na wengine.
Hivi byser kumbe ni kweliHapo namuhurumia Kabyser tu
Unawajua?Wapo wasanii na ma meneja kibao hawajatajwa
Husikii anakwambia "biashara isiokua na matangazo!"Hivi byser kumbe ni kweli
Ndo hivyo hivyo tumeelewa kuwa si wahusika bali ni washukiwa, ila tunataka tuone list nzima page imemiss mleta mada hajatutendea haki.Hao ni washukiwa,no proof hata wakiwa-expose wanaeza wawe wamehusika kweli au akuna.