Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

upload_2017-2-2_15-26-15.png
upload_2017-2-2_15-26-15.png
 
View attachment 466457

Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.

Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,

wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5. Recho(kizunguzungu)

SOURCE; Clouds FM (Informer)
Watanzania wengi watasherehekea habari kama hii,lakini kwa ukweli dhana ni kitu kibaya sana,kama mtu hajakamtwa na ushahidi wa kufanya hayo mambo ya madawa ya kulevya basi ni kosa kumtaja jina lake ,huu ni udhalilishaji wa haki ya mtu..

Nafikiri nchi yetu ina vyombo vinavyohusika na makosa kama haya,kwanini mkuu wa mkoa haachii hizo mamlaka zikafanya kazi yake...,Tanzania yunakwenda wapi,kama polisi wanaushahidi kwanini hawawakamati hao wahusika na kuwapeleka mahakamni...
 
Usiogope wema atamtaja tu salaah kama anaucka
Hana ujasiri huo mkuu, trust me hii kitu imekaa kisiasa sana,
Hv issue ya kiserikali tena katika kesi ya madai unaweza kumuita mtu kwa jina la mtaani? etii TID aje kituoni akikataa hilo si jina lake watamfanyaje?
issue sensitive kama hii imeshasambaa nchi nzima je wahusika wakisepa leo usiku tutajua kuwa kesho watahitajika polisi???
 
Hana ujasiri huo mkuu, trust me hii kitu imekaa kisiasa sana,
Hv issue ya kiserikali tena katika kesi ya madai unaweza kumuita mtu kwa jina la mtaani? etii TID aje kituoni akikataa hilo si jina lake watamfanyaje?
issue sensitive kama hii imeshasambaa nchi nzima je wahusika wakisepa leo usiku tutajua kuwa kesho watahitajika polisi???
Wanacheza tu na akili za waTz.
Ina maana hao maaskali wameshindwa kuwataja watu wanaowasaidia?? Ina maana intel imeshindwa kutuletea mapapa ina leta hawa kajamba nani??

Hizi ni kiki zisizokua na tija
 
Back
Top Bottom