Nawasiwasi kuwa wewe ni mhitimu wa kidato cha4 Shule ya sekondari Kitonga/ kideteHana ujasiri huo mkuu, trust me hii kitu imekaa kisiasa sana,
Hv issue ya kiserikali tena katika kesi ya madai unaweza kumuita mtu kwa jina la mtaani? etii TID aje kituoni akikataa hilo si jina lake watamfanyaje?
issue sensitive kama hii imeshasambaa nchi nzima je wahusika wakisepa leo usiku tutajua kuwa kesho watahitajika polisi???