Msukuma_De_Great
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 1,185
- 972
Tena ana kula na kula watu wanapenda maisha wasio na uwezo nayoBabuu wa kitaa so amepata Kazi anatangaza clouds TV, kipindi cha tegua mtego,
Madawa ya nini sasa
Kakamtwa siku ya Birthday ya mkewe.Petiman Wakuache ameshakamatwa yupo ndani
Le mutuHiyo list angetajwa mtu mmoja hiv misifa umu ndani pangewaka moto ana bahati yakr
Ulitaka imuache afeRay C,alikua anatumia madawa ya kulenya,cha ajabu serkali ndio ikaanza kumtafutia tiba.
Kwani yeye ni mahakamaAmewaja Kwa majina? Na kama kweli amewachikilia hatua gani?
Kadi alafu ninecheki clip kamtaja na mirror kama ukisikiliza kwa makinInakuwaje kaka Meneja asiwe kwenye list? Hajui kazi ya boss wake?!
Kwani police post hawajui unavyodhani??Waende polisi wao watatueleze ni wapi wanunua na kuuzia
You have a point.Hii list inawezekana mkuu wa mkoa alishuka nayo kutoka Unyamwezini baada ya kuonana na Mange Kimbambi.
Watanzania wengi watasherehekea habari kama hii,lakini kwa ukweli dhana ni kitu kibaya sana,kama mtu hajakamtwa na ushahidi wa kufanya hayo mambo ya madawa ya kulevya basi ni kosa kumtaja jina lake ,huu ni udhalilishaji wa haki ya mtu..View attachment 466457
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,
wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5. Recho(kizunguzungu)
SOURCE; Clouds FM (Informer)
Hana ujasiri huo mkuu, trust me hii kitu imekaa kisiasa sana,Usiogope wema atamtaja tu salaah kama anaucka
Huyu salaah ndo alietajwa na FA kwenye ile dume suruali.Usiogope wema atamtaja tu salaah kama anaucka
Wanacheza tu na akili za waTz.Hana ujasiri huo mkuu, trust me hii kitu imekaa kisiasa sana,
Hv issue ya kiserikali tena katika kesi ya madai unaweza kumuita mtu kwa jina la mtaani? etii TID aje kituoni akikataa hilo si jina lake watamfanyaje?
issue sensitive kama hii imeshasambaa nchi nzima je wahusika wakisepa leo usiku tutajua kuwa kesho watahitajika polisi???