Mchiwa Ng'ambaku
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 959
- 803
Hawapo kwa sababu hawajawekwa kwenye list,
Peleka ushaidi mkuu na wenyewe wawekwe
Peleka ushaidi mkuu na wenyewe wawekwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaidanipo mwekundu, labda huwa tunapishana tu majukwaani.....mzima lakini?
daah hili ni tatizo kubwa aisee tuombe Mungu atuepusheKutumia drugs haimaanishi haujielewi. Watu wanatumbukia kwenye drugs kwasababu tofautifotauti. Wapo wanaotumia cocaine kupata creativity zaidi. Na hapa watu wa sanaa ndiyo victims zaidi. Nataka ufahamu drugs kama cocaine inauwezo kusaidi kukurudisha kwenye original thoughts na hapa ndipo creativity ilipo. Nilisikia mahojiano fulani artist fulani alisema alipokuwa akitumia cocaine ilimfanya aone kama vile she can conquer the world. Na ni kweli...cocaine inakupa drive.....wasanii wanataka hii drive ndiyo maana wanatumbukia huko. Vanessa yeye ni artist ni rahisi tu kutumbukia. Mtu kama Oprah Winfrey huwezi dhani alikuwa anatumia crack cocaine.
Jambo jingine, watu wanatumia drugs kukabiliana na ugonjwa fulani au kupunguza maumivu. Kama ulimsikia Chid Benz alisema anaumwa sana tumbo na hiyo cocaine/Heroin anatumia inamsaidia kupunguza maumivu.
Waathirika wa drugs tusiwalaumu wala kuona wakosaji sana......nakwamboa yoyote yule inawezekana ukatumbukia. Yeyote yule. Ombea uishi maisha yasiyo na msongo wa mawazo au magonjwa. Hata matumizi ya drugs za Hospital kwa muda mrefu yanaleta urahibu na mwisho ni kifo
jux naye ajitafakari mademu zake wote wanahusishwa na madawa...jacky kafungwa na vanessa ndio huyo katajwa....ngoja tuifuatilie hii muvi. ni mwendo wa kununua popcorn tu
Wakongwe wenye JF naona bado mpojux naye ajitafakari mademu zake wote wanahusishwa na madawa...jacky kafungwa na vanessa ndio huyo katajwa....ngoja tuifuatilie hii muvi. ni mwendo wa kununua popcorn tu
Rommy Jones sio DJ wa wasafi?WCB wanailipa TRA million 55 kwa mwezi... Unaanzaje kuwadaka. Nchi inawaangalia,, TRA wanawapa salute.
Ndo huyo huyo kaka!Rommy Jones sio DJ wa wasafi?