Ila Wema na timu yake, wanatamaa na wivu mbaya
sasa makaamanda wake huyo dgi na mzaa wa mzungu wote wamaingia kutaka kuwa mameneja wa Diam,ond, wanamshauri kila kukicha utadhani waimbaji wote duniaiuimba weeeeeeeeeeee hadi wanaingia kaburini bila kuwa na business mbali mbali kuingiza pesa.
yaani wamenimaliza kwa mshangao wanamtamani Chiu wanajua hao timu Wema bila Chibu na Zari wao hawana story...
kuuza nguo kwa dhl kumekufa sasa kutafuta umeneja kwa kushauri wanamziki...cha kushangaza only Diamond kwani Tanzania ni yeye tu?
HONGERA CHIBU UPO JUUUUUUU, UNAWAPELEKESHA WATU WEEEEEE
KILA MTU ANATAKA KUWA MENEJA WAKO...
WANAJUA WEMA NI HANA KITU N+DIO +MAANA HAWAMSEMI KUMTAKA WANATAKA WEWE MWENYE AKILI
WANAMDHARIRISHA WANAKUTAMANI WANAJUTA Y HAWAKUKUJUA KWANZA....MPE HI ZARI/