Wema Sepetu mwakilishi BBA 2009?

Wema Sepetu mwakilishi BBA 2009?

Status
Not open for further replies.
1217170410_resize_of_elizabeth_gupta_1.jpg
 
Elizabeth Gupta (kulia) na Nasreem karim-kanda ya Ziwa-Mwanza

22222.JPG
 
Bhagosha,

Me nadhani tunge mchagua Abdull Mshindi wa Maisha Plus na kwajinsi navyo mfahamu na watanzania wanavyo mfahamu ni lazima angepata kura nyingi sana na lazima angechukua izo Dolla bila ubishi.

Tatizo hapa ni wale wanao wachagua hao wawakirishi wetu me nawawekea alama ya kuuliza na lazi huwa kuna vijambozii sana, Hebu ifika wakati sasa tuache kufiri kuwa Dar is everything na ndilo tataizo kubwa kwa upande wa pili mikoa mingine kuuendelea ya take time sana, Ukiamka tu kila kitu Dar jamani hebu tubadirishe mwelekeo hata sisi watanzania nao hatuoni alama za nyakati tusifikie wakati wakudhania kuwa Dar ndio watoao watu maarufu hapa nchi. Tubadilike mwelekeo. Mfano ni Maisha plus, Kisura hebu angalieni mliona washindi toka Dar?? Jamani khaaa......
 
The 14 participating countries this 2009 are: Angola, Botswana, Ethiopia, Ghana, Malawi, Mozambique, Namibia, Nigeria, Kenya, South Africa, Uganda, Tanzania, Zambia and Zimbabwe. Each country will have their own representative housemate.
Big Brother Africa 2009 Housemates
  1. Zimbabwe: Itai Makumbe – looks like he'd be evicted first
  2. Uganda: Hannington Kuteesa – he's got attitude and seems so full of himself
    icon_wink.gif
  3. Kenya: Edward Muthusi aka Teddy – he things he's a nice guy. We'd see.
  4. Nigeria: Kevin Chuwang – he sounds confident.
  5. Botswana: Kaone Ramontshonyana – from the ghetto?
  6. Ethiopia: Yacob Yehdego – wants to be himself. We'd see.
  7. South Africa: Quinn Sieber – charming white guy – there's trouble
    icon_biggrin.gif
  8. Mozambique: Leonel Estevoa – promising fun.
  9. Ghana: George Wayoe – he's got the spirit for the game – or so it seems. Time will tell.
  10. Uganda: Phil
  11. Kenya: Jeremy Ndirangu – he's got the spirit
  12. Namibia: Edward & Erastus Moongo – identical twins? There's trouble!
There would be ladies in the house next week…

http://www.davidajao.com/blog/2009/09/05/big-brother-africa-4-2009-the-revolution/
 
Bhagosha,

Me nadhani tunge mchagua Abdull Mshindi wa Maisha Plus na kwajinsi navyo mfahamu na watanzania wanavyo mfahamu ni lazima angepata kura nyingi sana na lazima angechukua izo Dolla bila ubishi.

Tatizo hapa ni wale wanao wachagua hao wawakirishi wetu me nawawekea alama ya kuuliza na lazi huwa kuna vijambozii sana, Hebu ifika wakati sasa tuache kufiri kuwa Dar is everything na ndilo tataizo kubwa kwa upande wa pili mikoa mingine kuuendelea ya take time sana, Ukiamka tu kila kitu Dar jamani hebu tubadirishe mwelekeo hata sisi watanzania nao hatuoni alama za nyakati tusifikie wakati wakudhania kuwa Dar ndio watoao watu maarufu hapa nchi. Tubadilike mwelekeo. Mfano ni Maisha plus, Kisura hebu angalieni mliona washindi toka Dar?? Jamani khaaa......

Jamani kwa yaliyotokea jana kwa Kanumba kushindwa hata kuelewa maswali ya kiingereza, ni bora tuwachukue tu hao vijana/mabinti wa Masaki, Oysterbay bin Mbezi Beach kama sio Upanga. Duuuuhhh...!!! That aibu, I don't wish kuipata as Mtanzania anymore. Ya jana inatosha...!!!

Tusilete u-mkoa hapa, leteni watu wanajua ngeli, wana-exposure ya kutosha, that's what we need kwa mwakilishi wa nchi yetu kwenye BBA. Hakuna Taasisi ya Kiswahili kule, huwezi ongea lugha yako mle ndani, you have to be an entertainer, watu hawaangalii sura au umetoka wapi, wanaangalia how you entertain them na hata IQ + exposure yako. Sasa unamtoa mtu kama Kanumba ambaye even a single word like "strategy" linampa shida na kuishia kudai kuwa ni complex word...!!!...!! Then ndio ulete mtu katoka huko Bush anajua kilugha chao na kiswahili, kiingereza cha kuunga....!!!

Let's be realistic..!!!
 
Haya wale waliosema BBA HAKUNA MADEMU tz IMEMPATA Wema sepetu ndie mwakilishi wake katika BBA mwaka huu,haya kazi kwenu,wametupatia balozi tayari!!humo ndani mmhh!!tumpigie kura za ndio!!
ni ngumu kuamini hii habari....ni mwakilishi kwa maana atashirikiana na waandaaji wa BBA kuangalia mambo kama yanakwenda vizuri, ama ni mshiriki kwa maana anaenda kuishi ndani ya jumba.?
lakini tusimdharau wema,huyu binti anaakili nyingi za kuzaliwa ,alichokosa ni mwongozo baaada ya kuupata umaarufu.
ila ni kipi chanzo cha taarifa zako ?
 
Wawakilishi wa kike hawatajulikana mpaka hiyo siku ya jumapili labda mtu aliyepata hiyo nafasi aropoke kwa boyfriend wake! sasa kama mmeambiwa na Wema kama yeye ndiye anayekuja basi ewala!
 
Huyu bint lugha ya kigeni anaweza,kwani alipokwenda Malyasia shule alikuwa anaongea Lugha gani?,Hope hataharibu!!!!
 
Naona Bongonians tunaleta mambo ya Holier Than Thou.SMH!!
 
Lakini nna wasiwasi asije akaleta yale mambo yake anayoyafanya huku na jumbe alafu akatutia aibu Kwi kwi kwiii
 
Its so dissapointing, kama huyo ndo wanampeleka huko hawa Multi choice hawana dili kabsaa nini ataenda fanya huko kama maisha ya hapa bongo tu yamemshinda itakuwa aibu tupu
 
Du afadhali umetusaidia kuondoa presha!!! Ni aibu tupu kumpeleka binti huyu WEMMA. Anahitaji sana kuwa-rehabilitated!!! Alijiharibia maisha mapema mno!! Sorry for her!!!
Lakini wapo wengvi tu kama yeye, tunaweza kuwa tumeruka maji na kuangukia kwenye matope
 
kwanza mshkaji hebu yeyote mwenye contacts za huyu kigoli anipe nitatoa hata $2000 just for her numbers namtaka kishenzi mwanangu
 
Huyu bint lugha ya kigeni anaweza,kwani alipokwenda Malyasia shule alikuwa anaongea Lugha gani?,Hope hataharibu!!!!

Suala hapa juu ya Wema siyo ngeli au nini, ni watanzania kutokuwa na mvuto na Wema na kama itakuwa yeye ndo mshiriki ni rahisi sana kuaga mapemaa!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom