Wema Sepetu mwakilishi BBA 2009?

Wema Sepetu mwakilishi BBA 2009?

Status
Not open for further replies.
Walisema kupotea njia ndiko kujua njia; nadhani katika hii miezi mitatu aliyotulia kwa mama yake amejifunza sana kuhusu dunia kuliko huko nyuma kwa vile alishaonja machungu yake na mama yake pia alishagundua alikokosea katika kumlea bintiye kiasi kuwa hakutaka kurudia makosa yale. Msishangae kuwa anaweza akawa mshindani wa maana sana kule huku akiwa anatoa mafunzo makubwa sana kwa vijana wengine na kuibuka kuwa mshindi hasa ukizingatia mvuto wa haiba yake; don't prejudge her.
 
Jamani kwa yaliyotokea jana kwa Kanumba kushindwa hata kuelewa maswali ya kiingereza, ni bora tuwachukue tu hao vijana/mabinti wa Masaki, Oysterbay bin Mbezi Beach kama sio Upanga. Duuuuhhh...!!! That aibu, I don't wish kuipata as Mtanzania anymore. Ya jana inatosha...!!!

Tusilete u-mkoa hapa, leteni watu wanajua ngeli, wana-exposure ya kutosha, that's what we need kwa mwakilishi wa nchi yetu kwenye BBA. Hakuna Taasisi ya Kiswahili kule, huwezi ongea lugha yako mle ndani, you have to be an entertainer, watu hawaangalii sura au umetoka wapi, wanaangalia how you entertain them na hata IQ + exposure yako. Sasa unamtoa mtu kama Kanumba ambaye even a single word like "strategy" linampa shida na kuishia kudai kuwa ni complex word...!!!...!! Then ndio ulete mtu katoka huko Bush anajua kilugha chao na kiswahili, kiingereza cha kuunga....!!!

Let's be realistic..!!!
Sasa wakuu mimi naomba ufafanuzi hapo. Kwenye zile filamu ambazo ameigiza na wa Nigeria na nasikia kuna nyingine ameigiza na wamarekani amefanyaje? au ni mambo ya kumeza maneno ( kukariri)?
 
Suala hapa juu ya Wema siyo ngeli au nini, ni watanzania kutokuwa na mvuto na Wema na kama itakuwa yeye ndo mshiriki ni rahisi sana kuaga mapemaa!!


wacha zako wewe, watz wangapi wamekuambia hayo?....jisemelee nafc yako.
 
tambala la deki laingia BBA.
kila mtu atalitumia na kuliacha juani


mbona mnamchambua sana mrembo wa watu jamani, awe hivi vile ni maisha yake,na nyie mna mangapi muyafanyayo, mbona mwajiona wema sana?
 
mbona mnamchambua sana mrembo wa watu jamani, awe hivi vile ni maisha yake,na nyie mna mangapi muyafanyayo, mbona mwajiona wema sana?

Nahsangaa watu yao hawayasemi kazi kusema ya wema, ukute wana machafu kuliko hayo
halafu watu wengine wanatoa tu coment kabla hawajasoma coment za watu wengine anashidwa hata kujua nini kimeongelewa na watu wengine.
 
Nahsangaa watu yao hawayasemi kazi kusema ya wema, ukute wana machafu kuliko hayo
halafu watu wengine wanatoa tu coment kabla hawajasoma coment za watu wengine anashidwa hata kujua nini kimeongelewa na watu wengine.
Hii sidhani kama itawabadilisha mitazamo watanzania walio wengi;binafsi siamini kama Wema Sepetu ndiyo anaingia katika jumba au Elizabeth Gupta(Liz)!
 
tambala la deki laingia BBA.
kila mtu atalitumia na kuliacha juani

Acha kuongea pumba, who are you to judge her? au kwa vile yeye ni star wa bongo so hata kidogo anachofanya kinakuzwa! who knows what you ARE, doing, only that we dont know you and so we dont pay attention, yawezekana ufanyayo wewe ni mabaya zaidi na hayasemekani. acheni kuwq wepesi wa kujudge watu wengine, get life and mind your own business kuliko kuja kutukana mtoto wa mwenzio hivi, do you know what your sister or your brother does?
 
Naomba mtu atuwekee picha ya huyo wema anayezungumziwa hapa. Yawezekana sio yeye ambaye wengi tunamfahamu, ili uchangiaji uwe mzuri.
 
Walisema kupotea njia ndiko kujua njia; nadhani katika hii miezi mitatu aliyotulia kwa mama yake amejifunza sana kuhusu dunia kuliko huko nyuma kwa vile alishaonja machungu yake na mama yake pia alishagundua alikokosea katika kumlea bintiye kiasi kuwa hakutaka kurudia makosa yale. Msishangae kuwa anaweza akawa mshindani wa maana sana kule huku akiwa anatoa mafunzo makubwa sana kwa vijana wengine na kuibuka kuwa mshindi hasa ukizingatia mvuto wa haiba yake; don't prejudge her.


Nashukuru mkuu umeliona hilo na umekuja na mtazamo chanya, cha msingi ni kumtia moyo huyo binti, ni kweli hiyo chup** kavua sana lakini pia yameshamtokea puani mengi, naamini dada yetu wema hutaenda kutuabisha kule angalau jizuie kwa muda halafu ukirudi utamkuta jumbe wako. Angalau tambua unaenda kuwakilisha nchi na unashiriki kwa sifa ya nchi na si yako mwenyewe hivyo usituangushe sawa eenh mama!
 
Naona mmeamua kumchafua mrembo wetu wakati ninyi wenyewe si wasafi. kiufupi mwakilishi bado hajajulikana, acheni kuhisi na kuchafua wenzenu.
 
Acha kuongea pumba, who are you to judge her? au kwa vile yeye ni star wa bongo so hata kidogo anachofanya kinakuzwa! who knows what you ARE, doing, only that we dont know you and so we dont pay attention, yawezekana ufanyayo wewe ni mabaya zaidi na hayasemekani. acheni kuwq wepesi wa kujudge watu wengine, get life and mind your own business kuliko kuja kutukana mtoto wa mwenzio hivi, do you know what your sister or your brother does?
sina uhakika kama wema kachaguliwa kutuwakilisha au lah. lakini........
simhukumu wema wala mwingine yeyote kwasababu nitakuwa naingilia kazi ya Muumba, lakini ukweli unabaki palepale kama ukitaka kuwa mwakilishi wa tanzania kwenye jukwaa lolote iwe umiss, kimuziki ,kisaniiii au kivingine vyovyote unatakiwa uwe na uhakika kama utaweza kuimudu kofia hiyo kwasababu siyo lelemama, sasa hapa watu wanavyomuhukumu wema sepetu kutokana skendo zake usiwalaumu kwasababu alitaka mwenyewe kuwa mwakilishi wa watanzania na lazima awe mfano wa kuigwa kwa mazuri , na ikiwa vinginevyo watanzania watamhukumu kwasababu anatuwakilisha sisi. SO NI JUKUMU LAKE KUWA MFANO WA KUIGWA KWASABABU ALITAKA MWENYEWE HAYO MAJUKUMU. mimi na wewe tusiyeyataka ndo maana tunabaki kuwa nyuma ya pazia hatujulikani na yeyote na hata nikiwa mchafu vipi watajali wale tu walio kwenye ile jamii inayotuzunguka na sio tanzania nzima, kwasababu kama mwanajamii na wewe unajukumu hilo, mbona Raisi wetu tunamkosoa akikosea ?na hapa tunampaga majina zaidi ya elfu moja ya kejeli? huyo wema asikosolewe kwanini? no body will leave her alone, kayavulia maji nguo ayaoge hayooo...
 
sina uhakika kama wema kachaguliwa kutuwakilisha au lah. lakini........
simhukumu wema wala mwingine yeyote kwasababu nitakuwa naingilia kazi ya Muumba, lakini ukweli unabaki palepale kama ukitaka kuwa mwakilishi wa tanzania kwenye jukwaa lolote iwe umiss, kimuziki ,kisaniiii au kivingine vyovyote unatakiwa uwe na uhakika kama utaweza kuimudu kofia hiyo kwasababu siyo lelemama, sasa hapa watu wanavyomuhukumu wema sepetu kutokana skendo zake usiwalaumu kwasababu alitaka mwenyewe kuwa mwakilishi wa watanzania na lazima awe mfano wa kuigwa kwa mazuri , na ikiwa vinginevyo watanzania watamhukumu kwasababu anatuwakilisha sisi. SO NI JUKUMU LAKE KUWA MFANO WA KUIGWA KWASABABU ALITAKA MWENYEWE HAYO MAJUKUMU. mimi na wewe tusiyeyataka ndo maana tunabaki kuwa nyuma ya pazia hatujulikani na yeyote na hata nikiwa mchafu vipi watajali wale tu walio kwenye ile jamii inayotuzunguka na sio tanzania nzima, kwasababu kama mwanajamii na wewe unajukumu hilo, mbona Raisi wetu tunamkosoa akikosea ?na hapa tunampaga majina zaidi ya elfu moja ya kejeli? huyo wema asikosolewe kwanini? no body will leave her alone, kayavulia maji nguo ayaoge hayooo...
hivi Agika! unafikiri kumuhukumu huyo mtoto wa watu au kumuanika mambo yake kwa watu ndio kumsaidia? fikiria kama angekuwa mwanao au mtoto wako,ungemuhukumu kwa jinsi hiyo? kama una nia ya kumsahihisha kwa jinsi hiyo,unadhani hiyo ndio njia muafaka?.Jaribu kufikiria kuwa huyo ni binadamu na huwezi jua chanzo cha hayo matatizo yanayomfanya awe hivyo alivyo.Na inawezekana hizo hukumu anazoendelea kuzipata ndio zinazidi kumkatisha tamaa na kuharibikiwa zaidi.Tusikimbilie kuhukumu kila kitu,tuwe watu wa kusaidia jamii kwa njia mbadala zaidi ya matangazo kama hayo ya kejeli na tutapata thawabu.
 
BALAA HILI JAMA....
Mi mwaka huu sina mpango wa kufuatilia hili shindano maana stimu zimekatika ghafla!!! Kwa nini Nchi zingine ziwakilishwe na vidume viwili afu Tz tuwapelekee demu??? aaagggghhhhhhhhh..........!!!!!!!!!!
 
Asiende na kugawa URODA kama pipi..maana yule mtoto ana mashetani wa hayo mambo

What is wrong na kugawa URODA? Au kwa sababu yeye anagawa uroda na wewe unajua. Mbona wewe unagawa na sisi hatujui huliweki wazi?

To hamna shida that is a reality show so whatever happenz ni kufanya watu wafurahi. Naona hayo hayo mambo ya uroda ndo yalimfanya RICHARD aje na hela. If that is the strategy then what is the problem?? Shida iko wapi? Ni ujasiriamali pia. Ndipo dunia ilikofika unataka uibadilishe who are you?
 
BALAA HILI JAMA....
Mi mwaka huu sina mpango wa kufuatilia hili shindano maana stimu zimekatika ghafla!!! Kwa nini Nchi zingine ziwakilishwe na vidume viwili afu Tz tuwapelekee demu??? aaagggghhhhhhhhh..........!!!!!!!!!!
Na sasa wewe unachekesha! Hutaki tupate mashemeji wa kiume kutoka huko ughaibuni? Ee, acha "tuolewe"!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom