kwani akienda kuvua chupi atakuwa anatuabisha?? mbona tatiana alimvulia kwa sana Brother Rich na akafika mbali kwenye BBA2? Kuvua ni lazima watoto wa Bongo wavue hata aende nani, si mlimuona latoya alivyokuwa kicheche katika muda wa wiki mbili tu? denda alitoa kwa jemba tatu!!!!! Kupitia kwa Bro Richard tuliwa.... waangola, acha nasi zamu yetu watushughulikie wengine. Awe Wema au Elizabeth au demu yeyote wa kibongo, ngono lazima nje nje tu!!!!