Wema Sepetu na Shigongo nini kinaendelea?

Wema sepetu keshaathirika na attention ..mda wote anataka awe vile ila matokeo yake atakuwa Kuwa Kama brirney spear naye alikuwa anapenda attention .
 
Halafu pia mi nafikiri ile ilikuwa Kama mchezo maana Global wala kumshataki hakuna na wakaishia kumualika Kwenye uzinduzi wao wa TV.
 
Halafu pia mi nafikiri ile ilikuwa Kama mchezo maana Global wala kumshataki hakuna na wakaishia kumualika Kwenye uzinduzi wao wa TV.

Yani mi mwenyewe nilishangaa sana na nilikuwa nasubiria sana kitakachofuata hawa wanalao jambo.
 
Hili swali gumu jibu rahisi.GPL biashara Wema biashara.
 

Tangu akabidhiwe tuzo yake ya Ijumaa sexiest girl, Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' tayari inaonekana ameshakutana na negative comments baada ya kushinda hiyo tuzo.


Wema Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Lulu, Nelly, Wolper, Jokate.
Wema ametumia ukurasa wake wa instagram kutoa yaliyo moyoni mwake na ameandika,
“If u got it flaunt it….. Ndo nshashinda…. kama hujapenda kasage chupa kunywa…. maana naona sasa its too much khaaaaaaaa.!

Ebu mnitue mie mtoto wa watu… And again much love to y’all dat support me… nawapenda sana…. nimemaliza…. Award yangu ndo hiiiiiiiiooooooooo…… next year tusubiri mwingine.
Nalala zangu…. tukutane kesho…. najua wengi mnanipenda ni wachache wenye vijiba vyao vya roho…. Wema atabaki kuwa Wema tu… Bhaaaaas.
 
Wolper walimnyamba nn mkuu,hebu fungua thread na sisi tufaidi mkuu.
 
Kwa hiyo akivuliwaa hilo wigii si ataaibikaa hicho kipara chake kama barabara isiyo na lami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…