Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyopata umiss Tz kipindi kile ndio alikuaga mzuri hatar.Sasa hv tako lingekuwa limemwagika halivitii tena bora sahv mwili utakuwa umekaza kidg [emoji14]
Ahamie wapi? Marekani alikichafua, wanasema alitembea na mume wa dada Ake, wakamreport, akawa deported!Mi ningekua wema ningehama nchi kwanza
Ni kweliWema anachekesha amekuwa kituko kama masha
Ngenye haimiachi mtu salama kabisa hivi mama ake yupo wapi??Ndo hivyo ni ex madame...
Siku hizi madame ni uwoya
Wema jaman anajishusha kwelii
Hivi ukimla shemeji unakuwa deported?Ahamie wapi? Marekani alikichafua, wanasema alitembea na mume wa dada Ake, wakamreport, akawa deported!
Halafu ahame nchi Ili tozo tukatwe peke etu? Tubaki wote hapa hapa.
Sipendi kweli demu uwe unapiga ila kwenye mtoto anakuwa sio wako.utahis una LOW SPERM COUNT.inaumiza sana AISEEHee nimekumbuka
Whozu si babe daddy wa Tunda? Huko vilikwendaje kwani??
Mimi sio mdau sana wa IG
Kavu tamu kweli umejuaje, kuna siku nimeandaa condom Kuna mwanamke nilikuwa na miadi nae, ebwanaaa, mwanamke Alikuwa na bongee la nundu sijawai kuona na umri wangu huu,nilizitupa mvunguni zile condomPapa imeuzwaaaaa weeee kila mkoa hadi sasa inagawiwa bureee
Na kavu ilivyo tamu sidhani kama kinga huwa ipo.
Pale mtu akiingia akapime kwanzaa
Alipitiliza muda wa visa yake, so alivomtibua mwenyeji akareport wakamreport!Hivi ukimla shemeji unakuwa deported?
Mahaba ndindindi au Miwaya ndindindi?Msanii wa bongo movie Wema Sepetu na msanii wa bongo flava Whozu wako kwenye mahaba mazito kwa muda sasa.
Hii video hapa chini inawaonesha wawili hao wakisherehekea kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Wema kwa mabusu motomoto na inasemekana Whozu alimfanyia ex madame surprise ya maua na keki.
Kweli wakati ukuta. Aliyezoea kupewa surprise za BMW, raaaaaaange na Murano siku za birthday yake sasa anapewa surprise za maua na keki.
View attachment 2370614
mamamae walahi daah😀😀😀[emoji23][emoji23]View attachment 2371865
Bila kumsahau idrisa.Hizi ndio Zama ambazo huyu mtoto alikuwa wamoto sana wasanii waliandika verse kumsifia. Waliomfaidi huyu mtoto ni Chief wa Msoga, Mr.Blue, Clement Ikulu, Mondi alimalizia malizia tu. Kipindi kile mtoto ana mzigo wa kwenda [emoji23][emoji23][emoji23]!
Whozu kadandia mtumbwi wa vibwengo hakiyanani!
Zi
Mondi alichukua upepo na kismatiMond aliona mbali aisee