Wema Sepetu na Whozu mahaba ndindindi

Wema Sepetu na Whozu mahaba ndindindi

Ahamie wapi? Marekani alikichafua, wanasema alitembea na mume wa dada Ake, wakamreport, akawa deported!
Halafu ahame nchi Ili tozo tukatwe peke etu? Tubaki wote hapa hapa.
Alioverstay america hukoo,wakamrudisha ndo maana hakanyagi Tena
Ni wa hapa hapa na China
 
Ahamie wapi? Marekani alikichafua, wanasema alitembea na mume wa dada Ake, wakamreport, akawa deported!
Halafu ahame nchi Ili tozo tukatwe peke etu? Tubaki wote hapa hapa.
Angeenda ata ulaya bwana ajipange upya akishayapatia maisha ndo arudi Kwa ukubwa aliokua nao na alivyo Sasa dharau zinakua nyingi
 
Ni huzuni kwa kweli. Angejituliza huenda angempata wa kumstiri zaidi ya huyo maana hivi vitoto havitabiriki havijatulia kabisa.
 
Sijaona picha za wema akiwa dubai wala akilisha twiga kama wenzie[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Hizi ndio Zama ambazo huyu mtoto alikuwa wamoto sana wasanii waliandika verse kumsifia. Waliomfaidi huyu mtoto ni Chief wa Msoga, Mr.Blue, Clement Ikulu, Mondi alimalizia malizia tu. Kipindi kile mtoto ana mzigo wa kwenda 😂😂😂!

Whozu kadandia mtumbwi wa vibwengo hakiyanani!

Zi

Whozu AMEYAKANYAGA.
 
Back
Top Bottom