Wema Sepetu ndiye Mkuu Wilaya Mpya ya Kigamboni.

Huyu si ndye alikuwa akikwiba umeme wa Tanesco. Ila mimi nilijua kama hatakuwa mbunge wa kupachikwa basi mku wa wilaya au mkoa maana kipind cha uchaguz ikulu ilikuwa kama hoteli kwake.
 
OK, nimekupata, hapana sikuwa na maana hiyo. Nasema kwa nchi yenye usanii kama hii msanii ana nafasi kubwa ya kusikilizwa na rais kuliko professionals! Si uliona selfie za mkubwa aliyetoka,
nimekupata mkuu! Umenifanya siku zangu ziende kwa furaha
 
kwani makalio ya wema au ku fail kwake kimaisha hafai kuwa mkuu wa wilaya?kama ni hivo vipi majizi yalio ibia serikali,na bado yamepewa post mpya.Au una umeamua tu kukereka na makalio yake?
 
Ukitaka kuteuliwa kuwa DC au RC ni lazima uwatukane wapinzani. ..sasa uyo wema sepenga ameshawai kufanya ivyo? ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…