Wema Sepetu ndiye Mkuu Wilaya Mpya ya Kigamboni.

Wema Sepetu ndiye Mkuu Wilaya Mpya ya Kigamboni.

Wema muuza nyago nae ni mtu wakufikilisha watu aliye kutuma mwambie aje mwenyewe
 
Wema muuza nyago nae ni mtu wakufikilisha watu aliye kutuma mwambie aje mwenyewe
Tatizo liko wapi, it is a matter of kujikomba! Kuna tofauti gani na yule wa musoma? Wote wa ni kujikomba! It is possible, tena sana
 
Inasemekana Mwanadada Wema Abraham Sepetu ndiye Mkuu wa wilaya mpya ya Kigamboni.


Kada huyo kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi anatajwa kuwa Shughuli za Kuapishwa ziko mbioni kwani Taratibu zote zimeshakamilika.


Wema Sepetu ataungana na Uteuzi uliyofanywa mapema Juma hili ukiusisha aliyekua Mjumbe wa katiba ya wananchi Humphrey Polepole na Ally Hapi.

Vijana hawa wanatajwa kuwa na Mchango mkubwa wakati wa Kampeni za Uchaguzi na Chama kimejizatiti kutowapoteza Mathalani Wema Sepetu ambaye mara nyingi alisafiri Nchi nzima akiwa na Makamo wa Rais Bi Samia Suluhu wakati wa Kampeni.
lol.....
 
Upuuzi kwa vipi, unajua wasanii wana thamani kuliko madaktari, maprofesa etc
acha ujumla kwenye vitu vya msingi! Unaweza kuwa padri ukawa rais
unaweza kuwa msanii ukawa rais
ni mifano tu ila kwa kila sekta anaweza kutokea mtu anayeweza kuongoza sekta zote
 
Rais wangu si mpuuzi mpaka afanye kitu kama hicho.
 
acha ujumla kwenye vitu vya msingi! Unaweza kuwa padri ukawa rais
unaweza kuwa msanii ukawa rais
ni mifano tu ila kwa kila sekta anaweza kutokea mtu anayeweza kuongoza sekta zote
Sijakuelewa ujumla kwa vipi kutoka andiko langu
 
She Prayed Vital Role pale wakina Hawa Ghasia walipokua wamemkimbia Samia Suluhu The hated one deserves what the President has Given her.
 
Sijakuelewa ujumla kwa vipi kutoka andiko langu
andiko lako linaonesha msanii ananafasi kubwa ya kuwa kiongozi ila mimi namaanisha kiongozi kwa ujumla hasa ni kwa kuzaliwa au very trained haijalishi anatoka kwenye fani gani
 
Tatizo liko wapi, it is a matter of kujikomba! Kuna tofauti gani na yule wa musoma? Wote wa ni kujikomba! It is possible, tena sana
Polepole ata kama amejikomba lkn huwezi mfanansh na muuza nyago pia polepole uwezo anao kiutendaji records zinaonesh sio sawa na uyu muuza sura
 
andiko lako linaonesha msanii ananafasi kubwa ya kuwa kiongozi ila mimi namaanisha kiongozi kwa ujumla hasa ni kwa kuzaliwa au very trained haijalishi anatoka kwenye fani gani
OK, nimekupata, hapana sikuwa na maana hiyo. Nasema kwa nchi yenye usanii kama hii msanii ana nafasi kubwa ya kusikilizwa na rais kuliko professionals! Si uliona selfie za mkubwa aliyetoka,
 
Back
Top Bottom