Mkuu samahani lulu anamiliki biashara gani? Au unamaanisha Efm ya majizo?Wema ujanja wako mjini ni nini? Kama ni ustar mbona hauna class? Watoto wadogo waliotoka mikoani wamengia mjini wengi wao walikuja kujiunga na UDSM sasa wamemaliza shule, wanafanya kazi, bado jioni utawakuta Mlimani City wakielekea UDSM wanafanya post graduate zao evening classes, wale tunaweza kuwaona wajanja.
Hata Lulu tunaweza kumuoana mjanja, anamiliki biashara, hana magroup ya marafiki wala siri zake hazivuji ovyo. Wema angalia wapi unakosea ujirekebishe, kiburi si uugwana.
Ana sendrozi za mkeka na lipustiki za kisi ya wema [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] nasubiri jibu na mimi
Wanasema anaduka sijui wanaita boutique.Mkuu samahani lulu anamiliki biashara gani? Au unamaanisha Efm ya majizo?
Hata mi nashangaa aisee... Huyu si wajuz juz tuuu
Nadhani katumika sana aiseee.Hata mi nashangaa aisee... Huyu si wajuz juz tuuu
Maisha yanahitaji discipline, huwezi kunywa pombe kila siku, mavyakula ya kukaanga huku ukitafuta shape ya vigodoro bado uwe na English figure tena bila gym.Nadhani katumika sana aiseee.
Waangalie wenzake kina K-Lyn walivyo hot japo wamezaa mapacha.
Wema anatumika sana aisee hasa kingono kila mwanaume na yeye ili mradi tu amtoe hela, mipombe madawa ya kulevya lazima akongoroke tu ka lilivo gari lisipotuzwa huchakaaNadhani katumika sana aiseee.
Waangalie wenzake kina K-Lyn walivyo hot japo wamezaa mapacha.
Kuna mtu kasema mahali eti katumika sana ndio maana kasi ya kuzeeka ni ya speed ya 4GMhhh amechakaa namna hii mwili unateremka kama mzee jamani. Poor wema anazeeka kimwendo kasi [emoji1495][emoji1495][emoji1495]
kila mtu ni tajiri ila tumetofautiana viwango vya utajiri.Kwani wema tajiri?
Unalitamka hilo lichupi, halafu nikipicture na mtako ule mpaka magotini, inaonyesha alivyouiba aliupigilia kwenye bag, maaana kwenye handbag lazima ungetokeza tu huo mchupi.Munaluv ndio ka peleka mchupi wa Wema Sepenga Tanga kwa Mganga.
Bongo bhana full watindiga yaani hata sauti zao haziwasitiri kuficha nyuchi zao
Ndia anajiita Munamachu..piMunaluv ndio ka peleka mchupi wa Wema Sepenga Tanga kwa Mganga.
Bongo bhana full watindiga yaani hata sauti zao haziwasitiri kuficha nyuchi zao
Aangukie mara ngapi muda ukifika tutaona tu sembe likavyoanzaa kumuumbua.Daaah aise !! Aaangalie asije akaangukia kule kwa mwenzie Ry C